beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuwasikiliza Wataalamu katika suala la Chanjo ya COVID19. Asema ni muhimu kuchanja kwasababu inasaidia kupunguza makali ya Ugonjwa.
Ameeleza, "Hii sio Chanjo ya kwanza, tumechanja Magonjwa mengine. Nawasihi achaneni na wapotoshaji. Watu wanafikiria kila kinachotoka huko ni kibaya"
Ameongeza, toka Ugonjwa ulipoingia Viongozi wa Kitaifa akiwemo Rais Samia walisema watajiridhisha na Wataalamu wameridhia aina za Chanjo zilizochaguliwa ni salama.
Msikilize:
Ameeleza, "Hii sio Chanjo ya kwanza, tumechanja Magonjwa mengine. Nawasihi achaneni na wapotoshaji. Watu wanafikiria kila kinachotoka huko ni kibaya"
Ameongeza, toka Ugonjwa ulipoingia Viongozi wa Kitaifa akiwemo Rais Samia walisema watajiridhisha na Wataalamu wameridhia aina za Chanjo zilizochaguliwa ni salama.
Msikilize: