#COVID19 Waziri Mkuu awataka Watanzania kuachana na wapotoshaji na kusikiliza wataalam

#COVID19 Waziri Mkuu awataka Watanzania kuachana na wapotoshaji na kusikiliza wataalam

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuwasikiliza Wataalamu katika suala la Chanjo ya COVID19. Asema ni muhimu kuchanja kwasababu inasaidia kupunguza makali ya Ugonjwa.

Ameeleza, "Hii sio Chanjo ya kwanza, tumechanja Magonjwa mengine. Nawasihi achaneni na wapotoshaji. Watu wanafikiria kila kinachotoka huko ni kibaya"

Ameongeza, toka Ugonjwa ulipoingia Viongozi wa Kitaifa akiwemo Rais Samia walisema watajiridhisha na Wataalamu wameridhia aina za Chanjo zilizochaguliwa ni salama.

Msikilize:

View attachment 1908883
Huyu si alitwambia JPM ni mzima wa afya na anaendelea na majukumu yake?
 
Vyeti vya chanjo tunapataje?
Naona wahusika wako kimya
Basi anayejua anijuze
Ww unaumwa kweli, cheti Ni fashion?
Kwa hyo ulienda kuchanja kwa matarajio ya kupata cheti?
Hicho cheti Ni kwa ajili ya kuombea kazi au Ni kwa ajili ya matumizi gani?

We shukuru umeshachanja Basi, si uko salama?

Hapo umesha kwepa kifo tayari.
 
Ww unaumwa kweli, cheti Ni fashion?
Kwa hyo ulienda kuchanja kwa matarajio ya kupata cheti?
Hicho cheti Ni kwa ajili ya kuombea kazi au Ni kwa ajili ya matumizi gani?

We shukuru umeshachanja Basi, si uko salama?

Hapo umesha kwepa kifo tayari.
Mimi siumwi,
Cheti ni haki yangu,
Cheti ni kwa ajili ya kusafiria,
Nashukuru mungu nimechanja,
Kifo hakikwepeki saa yako ikifika utakufa tu,
Umejichosha bureee, nilitaka anayejua anifahamishe, wewe inaonekana hujui,
Kama unajua nieleweshe
 
Kauli ya chanjo ni hiari ndio imekufwa kifo cha mende? Kati ya viongozi ambao nilikuwa nikiwapa big up ni huyu PM. Lakini kanisononesha sana siku za karibuni.
 
Chanjo ya korona ni Kama bidhaa ya promotion Kama isipotangazawa haiuziki

Huku kwetu kitaa tuko bize na mitikasi nyie bakini na
korona sijui chanjo imekuwaje kuwaje!!!!

Life lazima lisonge kibishi hatujali waimbe waimbavyo kitaa hakuna korona Wala nini
 
Inajieleza



Pamoja na kuonya wanaopotosha, amesikika akisema wataalamu wetu walipelekwa kuthibitisha ufanisi na usalama wa chanjo na kujiridhisha. Isitoshe nchini kuna maabara za kuthibitisha hilo. Hivyo tujitokeze kuchanjwa.

Ili wananchi waondoe hofu yao, yafuatayo yafanywe na Serikali:
[emoji830]︎ Hao wataalamu waliopelekwa na kuthibitisha watoke hadharani kueleza walichoona;
[emoji830]︎ ITAPENDEZA kama hao wataalamu wataweka kongamano la kitaifa la wataalamu wenzao kujadili ufanisi na usalama ya chanjo za UVIKO-19;
[emoji830]︎ Viongozi waliochanjwa wapime hadharani kama miili yao imetengeneza kinga;
[emoji830]︎ ITAPENDEZA kama baadhi yao watajitolea kuambukizwa UVIKO-19 kuthibitisha ufanisi wa chanjo

NAWASILISHA

HABARI MPYA KUHUSU CHANJO ZA UVIKO-19 kuhusu kesi hii


"Habari Muhimu: Mahakama Kuu ya Amerika imefuta chanjo ya ulimwengu wote

Huko Marekani, Mahakama Kuu imefuta ulazima wa chanjo kwa wote. Bill Gates, Mkuu wa kitengo cha magonjwa ya kuambukiza wa Amerika Fauci, na Big Pharma wameshindwa kesi katika Mahakama Kuu ya Amerika, wakishindwa kudhibitisha kwamba chanjo zao zote katika kipindi cha miaka 32 iliyopita zimekuwa salama kwa afya ya raia! Kesi hiyo iliwasilishwa na kikundi cha wanasayansi kilichoongozwa na seneta Kennedy.

Robert F. Kennedy Jr .: Chanjo mpya ya COVID inapaswa kuepukwa kwa gharama zote. Ninatoa tahadhari nyeti katika maswala muhimu yanayohusiana na chanjo inayofuata dhidi ya Covid-19.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya chanjo, chanjo zinazojulikana za mRNA za kizazi cha hivi karibuni huingilia moja kwa moja nyenzo za maumbile ya mgonjwa na kwa hivyo kubadilisha vifaa vya maumbile vya mtu binafsi, ambayo ni udanganyifu wa maumbile, ambayo tayari ilikuwa imepigwa marufuku na hapo awali ilizingatiwa kuwa jinai.

CHANJO ya Virusi vya Corona SIYO CHANJO! UTAFITI!
Kipo ambacho kimekuwa chanjo kila wakati? Ilikuwa ni pathojeni yenyewe - microbe au virusi ambavyo viliuawa au kupunguzwa nguvu, ambayo ni dhaifu - na iliingizwa ndani ya mwili ili kutoa antibodies.

CHANJO ya corona ni tofauti kabisa!
Ni sehemu ya kikundi kipya zaidi cha mRNA (mRNA) kinachodaiwa kuwa "chanjo". Mara tu iingiapo ndani ya seli ya mwanadamu, mRNA hubadili RNA / DNA ya kawaida, ambayo huanza kutengeneza protini nyingine. Hii haifanani kabisa na chanjo za jadi! Hii huchochea mabadiliko ya maumbile. Ni Silaha ya kijenetiki! Madhara ya chanjo hii hayatibiki wala kurekebishika.

Kufuatia chanjo isiyo ya kawaida ya mRNA, chanjo hiyo haitaweza tena kutibu dalili za chanjo hiyo kwa njia ya ziada. Watu waliochanjwa watalazimika kufikia matokeo, kwa sababu hawawezi kuponywa tena kwa kuondoa tu sumu kutoka kwa mwili wa binadamu, kama ilivyo kwa mtu aliye na kasoro ya maumbile na magonjwa ya kurithi kama vile Sikoseli, Dalili ya Klinefelter, Dalili ya Turner, kushindwa kwa moyo wa maumbile, hemophilia, cystic fibrosis, Dalili ya Rett, na kadhalika.), kwa sababu kasoro ya maumbile ni ya milele!

Hii inamaanisha wazi, kuwa: ikiwa dalili ya chanjo itatokea baada ya chanjo ya mRNA, mimi wala mtaalamu mwingine yeyote hataweza kukusaidia, kwa sababu
MADHARA YATAKAYOSABBISHWA NA CHANJO HAYATIBIKI

uvumbuzi: Silaha za mauaji ya kimbari ya karne ya 21.

Mwanasayansi wa zamani wa Pfizer, Mike Yeedon, ameelezea tena msimamo wake kwamba mpaka sasa dunia imeshachelewa sana kuokoa wale ambao tayari wameshaingizwa na dutu inayoitwa "chanjo ya Covid-19." Anawahimiza wale ambao bado hawajapata sindano mbaya kupigania maisha yao, wale walio karibu nao na maisha ya watoto wao kwa kukataa chanjo hii.

Mwanasaikolojia mashuhuri wa kimataifa anaendelea kuelezea mchakato ambao anasema utawaua watu wengi: Mara tu baada ya chanjo ya kwanza, karibu asilimia 0.8 ya watu hufa ndani ya wiki mbili. Matarajio ya wastani ya maisha ya waathirika yatakuwa wastani wa miaka miwili, lakini pia hupungua kwa kila "sindano" mpya.

Chanjo za ziada bado zinaandaliwa kusababisha kuzorota kwa viungo fulani, pamoja na moyo, mapafu na ubongo.

Baada ya miongo miwili (Miaka 20) huko Pfizer, Profesa Yedon alikuwa akijua kazi na utafiti na malengo ya maendeleo ya Pfizer kubwa ya dawa, na inasema kwamba lengo la mwisho la serikali ya sasa ya "chanjo" inaweza tu kuwa tukio kubwa la idadi ya watu ambalo litafanya vita vyote vya ulimwengu kuwekwa pamoja, kama Panya ya Mickey inayoangazia.

Mabilioni ya watu tayari wamehukumiwa kifo fulani, kisichoepukika na kichungu. Mtu yeyote anayepokea sindano atakufa mapema, na miaka mitatu ni makisio ya muda gani wanaweza kuishi. Mungu atusaidie o.

Wengine wetu tumeanza na sindano/dozi ya kwanza, tukingojea sindano/dozi ya pili! Machafuko makubwa, ikiwa hii ni kweli. Hii itakuwa na athari mbaya sana. Wanaotangaza na kushawishi watu kupata chanjo ya Corona wanatakiwa kushitakiwa/kufunguliwa kesi ya mauaji mara moja. Wanapaswa kukabiliwa na kesi ya GENOCIDE, na hii inapaswa kuwa mbele ya mahakama ya kimataifa ya jinai ya haki...."

Hii ni zaidi ya hatari. Lakini UAMUZI wa kuchanjwa ni watu binafsi.

Ombi langu bado liko kama nilivyoeleza hapo awali, hasa kongamano la madaktari na wanasayansi ya afya ya binadamu nchini kuhusu ufanisi na usalama wa hizo chanjo.
 
Kwanini serikali inakana kuhusu madhara yatakayojitokeza kwa watakaochanja?

refer consent form
 
Inajieleza



Pamoja na kuonya wanaopotosha, amesikika akisema wataalamu wetu walipelekwa kuthibitisha ufanisi na usalama wa chanjo na kujiridhisha. Isitoshe nchini kuna maabara za kuthibitisha hilo. Hivyo tujitokeze kuchanjwa.

Ili wananchi waondoe hofu yao, yafuatayo yafanywe na Serikali:
[emoji830]︎ Hao wataalamu waliopelekwa na kuthibitisha watoke hadharani kueleza walichoona;
[emoji830]︎ ITAPENDEZA kama hao wataalamu wataweka kongamano la kitaifa la wataalamu wenzao kujadili ufanisi na usalama ya chanjo za UVIKO-19;
[emoji830]︎ Viongozi waliochanjwa wapime hadharani kama miili yao imetengeneza kinga;
[emoji830]︎ ITAPENDEZA kama baadhi yao watajitolea kuambukizwa UVIKO-19 kuthibitisha ufanisi wa chanjo

NAWASILISHA


Umeruka kingine:

Kasema tuna maabara bora kuliko zote Afrika.

Alisema mwendazake yuko busy na mafaili. Akaenda mbele kuwazodoa Magomeni na Kariakoo:

IMG_20210707_084839_278.jpg


Ya wataalamu kayagundua lini ni ya muhimu?

Vita vya kiuchumi vilikwisha lini?

Vipi waliopoteza maisha kwenye sera zao za awamu ile na mwendelezo wake?
 
Katelephone aliwahi kutuambia kuwa yohana alcohol padlock ni mzima anachapa kazi kumbe huyo yohana kashakufa hivyo tutafakari sana
Ni kweli huyu sio wakumuamini hata kidogo. Ni mnafiki wa kitupwa.
 
Back
Top Bottom