Waziri Mkuu hana mamlaka juu ya shughuli za Ofisi ya DPP

Waziri Mkuu hana mamlaka juu ya shughuli za Ofisi ya DPP

Katika gazeti la Raia Mwema la leo, Jumatano, August 18, 2021, kuna habari kwamba Waziri Mkuu, Majaliwa, amewapa TAKUKURU na DPP siku nne kuwafikisha mahakamani watuhumiwa fulani wa ufisadi. Haya maagizo sio tu ni ya kushangaza, lakini pia ni ushahidi kwamba nchi yetu ina viongozi ambao hawajui mipaka ya kazi zao.

Ofisi ya DPP ipo kikatiba na ni ofisi ambayo inapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na kinyamkera yeyote yule. Charging decision ni prosecutorial discretion ya DPP. Akijiridhisha kwamba kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya mtuhumiwa, DPP atapeleka kesi mahakamani. Vinginevyo hapeleki. Hapapaswi kuwa na mtu yeyote wa kumuagiza kufanya hiki au kutokufanya kile. Not even the President.

Wanasiasa, tafadhali sana fahamuni mipaka ya authorities zenu. Mnatia aibu
Haya ni masalia ya magufuli, usishangae sana.
 
Huu uzi wako sio tu ni wa kushangaza, lakini pia ni ushahidi kwamba huijui nchi yako.Hadi leo hujui ya kwamba katika nchi ya Tanzania viongozi wa kisiasa huwa wanaiweka mihimili ya nchi mfukoni mwao kwa faida zao binafsi?Kwa nini unashangaa kitu ambacho ni cha kawaida Tanzania na kinajulikana?

Hili suala la Watanzania walio wengi kuwa na akili ndogo za kufikiri kama za mleta uzi huwa linanikera sana!

Akili zenu nyumbu mnazijua wenyewe tu! Kushangaa sio lazima useme unashangaa. Hata ninyi nyumbu mnapoingia kwenye streets za Twitter Republic na mabango yenu mkidai Rais anavunja Katiba, mnakuwa mmeshangaa bila kusema mnashangaa, kwasababu mnachokipinga kinakuwa kinakinzana na legislated norm. Vinginevyo, msitupotezee muda wetu na kelele zenu zisizo na kichwa wala miguu!
 
Katika gazeti la Raia Mwema la leo, Jumatano, August 18, 2021, kuna habari kwamba Waziri Mkuu, Majaliwa, amewapa TAKUKURU na DPP siku nne kuwafikisha mahakamani watuhumiwa fulani wa ufisadi. Haya maagizo sio tu ni ya kushangaza, lakini pia ni ushahidi kwamba nchi yetu ina viongozi ambao hawajui mipaka ya kazi zao.

Ofisi ya DPP ipo kikatiba na ni ofisi ambayo inapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na kinyamkera yeyote yule. Charging decision ni prosecutorial discretion ya DPP. Akijiridhisha kwamba kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya mtuhumiwa, DPP atapeleka kesi mahakamani. Vinginevyo hapeleki. Hapapaswi kuwa na mtu yeyote wa kumuagiza kufanya hiki au kutokufanya kile. Not even the President.

Wanasiasa, tafadhali sana fahamuni mipaka ya authorities zenu. Mnatia aibu
Sio kweli haiwezekani eti waziri mkuu hana uwezo kumuelekeza dpp. Dpp sio mahakama ila ni mtumishi upande wa executive branch.
 
Mimi napita sheria maana ndiyo mwongozo na siyo vitabu vya siasa.

Unachokisema wewe ni sawa na kusema Gavana wa BOT boss wake ni katibu mkuu wa wizara ya fedha.
Yap na ndivyo ilivyo, govoner anayo autonomy ya kufanya sehemu ya kazi yake bila ya kuingiliwa (mostly technical side).

Lakini katibu mkuu wa wizara can call an audit anytime ya hiyo taasisi.

Same thing katibu wizara ya sheria anaweza ifanyia taasisi ya DPP performance appraisal anytime including mwendesha mashtaka mwenyewe ata kama hana mamlaka ya kumfukuza.

Seuse waziri mkuu kumuamuru DPP achukue hatua za kisheria.
 
Unapoangalia ‘organisation chart’ kila position iliyo juu ya mtu fulani basi elewa muhusika anawajibika kwa wajuu yake.

Na hata kwenye katiba, katibu mkuu ndio mtendaji mkuu wa wizara na taasisi zake so ofisi ya DPP kwenye structure ya wizara aiwezi kuwa juu ya nafasi ya katibu mkuu.

Tofautisha administrative reporting lines ambazo zipo for coordination and accountability purposes only na zile zinazohusisha authority to direct someone’s work. Kwa mfano, unaporipoti administratively kwa mtu fulani, huyo mtu hana uwezo wa kurudisha report yako na maelekezo ya kuifanyia mabadiliko yoyote. Report uliyompa (na underlying work) ni final unless wewe mwenyewe umeamua kuifanyia mabadiliko.

Kwahiyo, kikatiba, hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumuambia DPP amfikishe (au asimfikishe) nani mahakamani lini.
 
Sasa si afadhali PM hata kama anavunja sheria ya DPP kuliko mama Kibyengo kutwa kiguu na njia?

Alivunja uongozi wa soko la Kariakoo, hadi leo hakuna jipya. hatimaye soko limeungua
Chuki itakuua mbw,a koko wewe
 
Sio kweli haiwezekani eti waziri mkuu hana uwezo kumuelekeza dpp. Dpp sio mahakama ila ni mtumishi upande wa executive branch.

Tofautisha administrative reporting lines ambazo zipo for coordination and accountability purposes only na zile zinazohusisha authority to direct someone’s work. Kwa mfano, unaporipoti administratively kwa mtu fulani, huyo mtu hana uwezo wa kurudisha report yako na maelekezo ya kuifanyia mabadiliko yoyote. Report uliyompa (na underlying work) ni final unless wewe mwenyewe umeamua kuifanyia mabadiliko.

Kwahiyo, kikatiba, hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumuambia DPP amfikishe (au asimfikishe) nani mahakamani lini.
 
unashangaa PM kutoa maelekezo hayo mkuu unaishi Tz kweli?? matamko kama hayo huwa yanatolewa hadi na mwenyekiti wa uvccm hii nchi inefika pabaya ndio mana tunataka katiba mpya

Kudai Katiba Mpya ni kushangaa bila kusema unashangaa!
 
Mnaofuatilia yanayoendelea Afghanistan mtakuwa mmeona wananchi wakiandamana bila kubugudhiwa kabisa.
Ndo kwanza Taliban inachukua nchi, Talban ambao tulitegemea wasingeweza kuvumilia kitu kama hicho. Nini hii Tz ???? maandamano yanaonekana ni uahlifu usiovumilika! Tukisema ni ushamba mnakuja kusema tumetukana.
Wahusika mjifunze kutoka kwa wanamgambo wa Taliban.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ana uwezo wa kuagiza lakini wao wakafuata taratibu zote.

Lakini haimaanishi akisema basi hapohapo wanakamata watu.

Hivyo TAKUKURU watachunguza na DPP ataangalia kama kuna ushahidi na kama upo hao wezi watashughulikiwa.

Kama hakuna basi ndo sie huona ukimya na case closed.

Umeyaelewa maagizo yake?
 
Waziri mkuu anawajibika kwa raisi tu ndani ya Tanzania watendaji wote serikalini yeye ndio boss wao kila taasisi ya serikali unayoijua wewe Majaliwa ndio boss wao; anaweza kumpa amri hata IGP Sirro akiamua.

Waziri yoyote anamwakilisha raisi moja kwa moja kwenye sector aliyokabidhiwa, kauli yake ndio ya raisi; unless raisi mwenyewe aikane.

Unashangaa kuona watu kama hakina Sirro wanapata wapi kiburi cha kujibizana na mamlaka ya raisi.

Unapomletea ukaidi waziri ni kukaidi amri ya raisi mpaka raisi mwenyewe aipinge.
Siyo kweli, acha kudanganya.nenda kasome katiba.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tofautisha administrative reporting lines ambazo zipo for coordination purposes only na zile zinazohusisha authority to direct someone’s work. Kwa mfano, unaporipoti administratively kwa mtu fulani, huyo mtu hana uwezo wa kurudisha report yako na maelekezo ya kuifanyia mabadiliko yoyote. Report uliyompa (na underlying work) ndiyo final unless wewe mwenyewe umeamua kuifanyia mabadiliko.

Kwahiyo, kikatiba, hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumuambia DPP amfikishe (au asimfikishe) nani mahakamani ndani ya muda gani.
That’s just common sense DPP ana kesi luluki, uwezi kumpa time frame ya kuchunguza kitu awe amekamilisha kazi.

But then provided there is criminal evidence waziri mkuu anao uwezo wa kumuamuru DPP achunguze.

Anyway in usual procedure ofisi ya DPP kama mwendesha mashtaka jukumu lao ni kupokea majarida na kushitaki. Kazi ya kuchunguza kama kuna kesi ni polisi au TAKUKURU wao ndio wanatakiwa kukusanya ushahidi wote na kupeleka ofisi ya DPP wakishajiridhisha kuna kesi.

Hila sisi tuna utaratibu wetu wa kufanya mambo, eitherway point yangu ni kuwa waziri mkuu ni mkubwa kwa DPP na anaweza kumuamuru.
 
Siyo kweli, acha kudanganya.nenda kasome katiba.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tumeshatoka huko kama umepitia mada yote. Unless uje useme katiba inasemaje tofauti.

Kama nilivyosema serikali ni ‘raisi na baraza lake la mawaziri’ pekee; hakuna civil servant anaewazidi hao watu rank.

Waliobaki wote ni administrators wa serikali yaani kuanzia makatibu wakuu na chain yote iliyo chini yake.
 
That’s just common sense DPP ana kesi luluki, uwezi kumpa time frame ya kuchunguza kitu awe amekamilisha kazi.

But then provided there is criminal evidence waziri mkuu anao uwezo wa kumuamuru DPP achunguze.

Anyway in usual procedure ofisi ya DPP kama mwendesha mashtaka jukumu lao ni kupokea majarida na kushitaki. Kazi ya kuchunguza kama kuna kesi ni polisi au TAKUKURU wao ndio wanatakiwa kukusanya ushahidi wote na kupeleka ofisi ya DPP wakishajiridhisha kuna kesi.

Hila sisi tuna utaratibu wetu wa kufanya mambo, eitherway point yangu ni kuwa waziri mkuu ni mkubwa kwa DPP na anaweza kumuamuru.

Issue sio nani ni mkubwa, administratively!

DPP ndiye mwenye prosecutorial discretion. He and only he can decide whether or not the evidence against the criminal defendant is sufficient to go forward with the prosecution!
 
Issue sio nani ni mkubwa, administratively!

DPP ndiye mwenye prosecutorial discretion. He and only he can decide whether or not the evidence against the criminal defendant is sufficient to go forward with the prosecution!
Well you can’t argue with that, but if the boss gives orders he has to obey them first; and then do the due dilligence later.
 
Well you can’t argue with that, but if the boss gives orders he has to obey them first; and then do the due dilligence later.

A boss who understands the nature and extent of his or her authority won’t give such lousy orders!
 
Kwa sababu aliekuwa boss wa waziri mkuu; alikuwa ndio mtu anaemlinda makonda pia.

Kama nilivyoandika ni raisi tu ndio anaweza vunja amri ya waziri mkuu; na Makonda alikuwa akiringa sababu ya special relation yake na raisi.
"special relation na rais"!!!
Ipi hiyo!??
 
A boss who understands the nature and extent of his or her authority won’t give such lousy orders!
Precisely but this is a country whose president can demand at whim a commercial plane to charter her trip. In the midst disrupting the organisation paying customers flight schedule; just because the government owns the business.

So were the P.M orders legit? Yes

Were they sensible? No based on your side of the story (but then personally I need to watch his side to see under what circumstances he issued those orders).
 
Katika gazeti la Raia Mwema la leo, Jumatano, August 18, 2021, kuna habari kwamba Waziri Mkuu, Majaliwa, amewapa TAKUKURU na DPP siku nne kuwafikisha mahakamani watuhumiwa fulani wa ufisadi. Haya maagizo sio tu ni ya kushangaza, lakini pia ni ushahidi kwamba nchi yetu ina viongozi ambao hawajui mipaka ya kazi zao.

Ofisi ya DPP ipo kikatiba na ni ofisi ambayo inapaswa kufanya kazi zake bila kushinikizwa na kinyamkera yeyote yule. Charging decision ni prosecutorial discretion ya DPP. Akijiridhisha kwamba kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya mtuhumiwa, DPP atapeleka kesi mahakamani. Vinginevyo hapeleki. Hapapaswi kuwa na mtu yeyote wa kumuagiza kufanya hiki au kutokufanya kile. Not even the President.

Wanasiasa, tafadhali sana fahamuni mipaka ya authorities zenu. Mnatia aibu
CCM ni laana
 
Back
Top Bottom