Waziri Mkuu huwa Kikatiba Rais ikiwa Makamu wa Rais na Rais hawapi nchini

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Najua aliye rithi uraia yupo Maputo, Makamu wake yupo nje ya Africa amepeleka umbea wake yakuwa samaki wa ziwa Victoria wanaoshwa na maji ya mahitii

Sasa anashikia Ikulu ni Kassimu Majaliwa na ndio maana na Tozo ameziondoa Jana mbona TBC mnalipoti KUWA ni Waziri mkuu
 
Mmmmm sijaelewa itakuwa ni story za vijiweni
Kaa ujitulize utafute point ndipo uandike
 

Acha upotoshaji wewe..kabla ya
kuanzisha Uzi fanya kwanza utafiti..tunalilia Katiba mpya wakati hii iliyopo hatuifahamu.
 
Ibara gani na kifungu kipi?
 
Upo sahihi kusema nchi ipo chini ya waziri mkuu lakini hatuwezi kuita rais kwasababu hajala kiapo au hajaapishwa kuwa rais wa JMT hivyo atabaki na cheo chake cha uwaziri mkuu japo Ata act kazi zote Zilizokuwa zifanywe na na rais au makamu wa rais ambao wote hawapo kwa sasa nchini
 
Kama kuandika tu Ni shida siwezi nikashangaa utoto ulioandika hapa, Hivi hata wewe ukirudia kusoma unaweza kuelewa ulichoandika? Unaandika utazani umebanwa pua na mdomo
 
Kiswahili sasa😂
 
Huu mwandiko ni kama wa Pdidy , kuuelewa ni mpaka uwe na akili za usiku.

-Kaveli-
 
Kama kuandika tu Ni shida siwezi nikashangaa utoto ulioandika hapa, Hivi hata wewe ukirudia kusoma unaweza kuelewa ulichoandika? Unaandika utazani umebanwa pua na mdomo
[emoji1787][emoji1787]
Utazani-[emoji777]
Utadhani-[emoji818]
 
🤣🤣🤣🤣🤣Hizi comments zinataka kunivunja mbavu wajameni!!! Ngoja niondoke kwanza nitarudi baadaye!!
 
Washauri wa Maza wanapotosha..... Hizo safari wanazompa kila mwezi hazina mashiko. Hata kwa Queen haukuwa lazima. Halafu anatoka huko anafikia Mozambique. Kulikuwa na haraka gani? Hata kama ilipsngwa mapema ingeweza kusogezwa mbele. Something is not right.
 
Rais kwa sasa ni Bi Tulia akcson mwansasu kutoka Tukuyu kama ulikua hujui
 
umeandika ukiwa kwenye Kimbinyiko ya London au mwendokasi ya malkia Eliza?
 
katiba inasema kama rais hayupo na makamu wake anashika nchi ni spika wa bunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…