johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bavicha mna vituko sana!Rais kwa sasa ni Bi Tulia akcson mwansasu kutoka Tukuyu kama ulikua hujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bavicha mna vituko sana!Rais kwa sasa ni Bi Tulia akcson mwansasu kutoka Tukuyu kama ulikua hujui
Poor! Mahiti ndio kitu ganiNajua aliye rithi uraia yupo Maputo, Makamu wake yupo nje ya Africa amepeleka umbea wake yakuwa samaki wa ziwa Victoria wanaoshwa na maji ya mahitii
Sasa anashikia Ikulu ni Kassimu Majaliwa na ndio maana na Tozo ameziondoa Jana mbona TBC mnalipoti KUWA ni Waziri mkuu
Kwan wasipinduliwe wabaki uko uko waliko uamishoni HV jwtz hakuna manyamera na ss tuwwe ktk recod za kidunia kuwa ukiwachezea wananchi wa tz unapinduliwa madarakani faster nataman niamke kesho nisikie inchi iko chini ya meja genearali mbogo ..[emoji23][emoji23]Upo sahihi kusema nchi ipo chini ya waziri mkuu lakini hatuwezi kuita rais kwasababu hajala kiapo au hajaapishwa kuwa rais wa JMT hivyo atabaki na cheo chake cha uwaziri mkuu japo Ata act kazi zote Zilizokuwa zifanywe na na rais au makamu wa rais ambao wote hawapo kwa sasa nchini
Yule jamaa wa msumbuji Ni mmakonde halisi Ni konde boy so Kuna Jambo[emoji39][emoji39]Washauri wa Maza wanapotosha..... Hizo safari wanazompa kila mwezi hazina mashiko. Hata kwa Queen haukuwa lazima. Halafu anatoka huko anafikia Mozambique. Kulikuwa na haraka gani? Hata kama ilipsngwa mapema ingeweza kusogezwa mbele. Something is not right.
Toa ujuaji wako hapaBavicha mna vituko sana!
Hahaha..!Toa ujuaji wako hapa