Waziri Mkuu, ingilia kati suala hili la VETA

Waziri Mkuu, ingilia kati suala hili la VETA

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,625
Reaction score
3,141
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.
 
duh! hata hili ni la kushughulikiwa na waziri mkuu? sasa huyo mzazi ameshindwa kutoka hapo mwakaleli kwenda mbeya mjini ili akutane na wahusika man to man?
 
Waziri mkuu tena kiongozi,, suala dogo hilo unamwita waziri mkuu unamucha waziri wa elimu, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya unamfuta waziri umekosa adabu mtake radhi waziri mkuu
 
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.


Ingia website ya office ya waziri mkuu na upige hizo namba kama zitapatikana! Lakini nenda strategic areas tafuta vishoka, one call kila kitu kinakaa sawa.
 
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.
Panda basi uende hapo chuoni acha utoto
 
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.
ingiaa kwenye website ya VETA wanatoa utaratibu wotee namna ya kujiunga na vyuo vyao kila siku na namba zao zinapatikana Muda wote wa kazii hadii wasapu wanajibuu,,,usipendee kulalamika hta Kwa vitu vidogo vidogo Sasa hapo wazirii mkuu aingiliee nini,,upuuzii mtupu
 
Mwakaleli , ebu Mkuu tafuta namba Yao sahihi UPIGE. I'm sure hizo namba unazopiga sio sahihi.
 
Mwakaleli , ebu Mkuu tafuta namba Yao sahihi UPIGE. I'm sure hizo namba unazopiga sio sahihi.
Kama sio sahihi kwani wasitoe updates za namba sahihi kwenye tovuti zao?

Hilo suala lipo hadi kwa namba za ofisi ya rais, waziri mkuu mwenyewe, n.k.
 
Hizi namba za huduma Kwa wateja taasisi za umma ni bosheni tu,aende chuoni kabisa.

Ila ni hivi... vyuo vya Veta vimejaa vizee ambavyo vingetakiwa kuwa tayari vimestaafu,na vijana wanaopenda Maisha ya Ista Kwa mshahara wa kima Cha chini.
Mshauri rafiki yako aende kabisa na hela ya rushwa kuanzia 25k,suala litashulikiwa mapema sana,Bora aende na rushwa ada atavumiliwa.

Bila rushwa ataambiwa nafasi zimejaa.
 
Unasems namba za Veta??? Namba za TCRA tuu chengaaaa...
 
Hizi namba za huduma Kwa wateja taasisi za umma ni bosheni tu,aende chuoni kabisa.

Ila ni hivi... vyuo vya Veta vimejaa vizee ambavyo vingetakiwa kuwa tayari vimestaafu,na vijana wanaopenda Maisha ya Ista Kwa mshahara wa kima Cha chini.
Mshauri rafiki yako aende kabisa na hela ya rushwa kuanzia 25k,suala litashulikiwa mapema sana,Bora aende na rushwa ada atavumiliwa.

Bila rushwa ataambiwa nafasi zimejaa.
🤣🤣Kuna vile vizee vinakuwa kwenye taasisi vyeti vile vya mkolon sema ndo hivyo vinavumiliwa muda wao uishe,vinakuwaga vikwamisha ishu nyingi za taasisi
Afu ukivigusa vinaanza kukupiga misumari🤣
 
Fomu zinaendelea kutolewa Hadi tarehe 15-september, fika chochote kilichopo karibu uprwe control no.ulipie 5000 upewe fomu ujaze, au download fomu inapatikana kwenye tovuti ya veta www.veta.go.tz ujaze kabisa ndio uende nayo chuo chochote, orodha ya vyuo na fani zinazopatikana kwenye chuo husuka zipo kwenye hiyo fomu.
Mtihani wa mchujo.. aptitude test itafanyika October 1 au 2 na hata kama uko dar na unataka kusoma veta Mbeya,unaweza ukafanyia huo mtihani chuo chochote... No za simu unazopiga mara nyingi ni za mezani na hii shida ya kukatika Kwa umeme huwenda zisipatikane, au ukute unapiga muda ambao sio wa kazi

Kwa maelezo hayo machache nakushauri fika chuo chochote Cha VETA na upewe taratibu za kufuata
 
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.
Piga namba hii 0755 990 220 Atakuongoza huyo Mr. Deo,Ukiona hapatikani nitakupa namba ya mkuu wa hapo.
Pia,kulalamika Sana sio vizuri tukifunze kutenda zaidi.Ukiona haipatikani nipogei mimi 0756770884.
Na kwa nyongeza waweza ingia kwenye tovuti ya veta.
 
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.
www.veta.go.tz
 
Kuna mzazi amejaribu kupiga simu katika chuo cha VETA Mbeya ili apate utaratibu wa kumpeleka mwanae mwaka 2024 lakini ameambulia patupu.

Namba zote za mawasiliano walizoziweka mtandaoni hazipatikani, leo ni wiki la pili sasa.

Aliposhindwa kupata mawasiliano kutoka VETA Mbeya, akatafuta Namba za VETA Makao Makuu. Hata Makao Makuu hakuna kitu kabisa. Kila akipiga simu haipatikani kabisa.

Naomba mh. Waziri Mkuu ingilia kati suala hili. Watu wanapata shida sana.
Sasa hilo ni swala la waziri kweli? Kwa nini asiende hapo moja kwa moja?
Ila hili la kutopokea simu pia sio jambo zuri, kijana alifaulu one of government schools kidato cha tano, walimu wameweka namba lakini hazipokelewi, labda wameweka mapambo.
 
Back
Top Bottom