Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Unachojua wewe ni maneno machafu kama ulivyo wewe!!!....maneno yako na id fake ndio ujuaji huu!!..Umekunywa chai lakini Ndugu yanguHuna lolote ujualo. Hapa tunajadili mambo serious, tusimtaje TYSON kwanini? Kwani hii mikanda wanayoipigania hawa mabondia wetu inatoka kwako? Kama kumtaja Tyson kwako unaona nimemaanisha Kiduku na Mwakinyo ndo kina Tyson, basi ninatia shaka na uwezo wako wa kufikiri. Wewe ni victim wa Zika.
Wivu haukufikishi popote, utajikuta kila siku unakuja kulialia mtandaoni kwa mafanikio ya wengine.
Unahamisha mjadala, kuna uhusiano gani usemacho na mada. Jenga hoja. Acha wivu kwa vijana, wanatumia nguvu na juhudi kubwa kufika hapo walipo.Wivu uache kuwa nao wewe,ambae hata jina unalotumia sio lako!!.....Bora kuwa Victim wa Zika with proper identification!!
Kumbe Una matatizo ya Akili kunizidi!!Unahamisha mjadala, kuna uhusiano gani usemacho na mada. Jenga hoja. Acha wivu kwa vijana, wanatumia nguvu na juhudi kubwa kufika hapo walipo.
Sasa nikueleweshe
Kuhusu jina. Japo, haihusiani na mada, kwakuwa umelileta nitakuelewesha. Jina ni utambulisho na ni alama tu. Hebu niambie, ni nani hapa JF aliwahi kukuletea cheti chake cha kuzaliwa ulichojiridhisha kimesajiliwa na mamlaka husika? Wewe kujitambulisha kwa jina hilo, kunathibitishaje ni jina lako halisi? Mimi kutumia jina hilo,kunathibitishaje kuwa si jina halisi?Unakumbuka hapo juu nilikwambia umeshambuliwa na zika? Sikukosea bila shaka.
Msisitizo: Usiharibu mjadala. Hiki ulicholeta hakina uhusiano na mada.
Haya unayoongeza hayahusiani na mada ndugu. Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. Umejaa ubinafsi na wivu. Unaona maneno machafu kwa mwenzako, yako huyaoni? Wewe ndo umeona yote uliyoandika ni matakatifu, sivyo? Umeyaanzisha mwenyewe. Na ulipoleta mada, ulijua fika hapa kuna mamia ya watu wenye mitazamo tofauti. Hivyo, kubali kuwa si kila uwazacho ndicho wengine wanachowaza.Unachojua wewe ni maneno machafu kama ulivyo wewe!!!....maneno yako na id fake ndio ujuaji huu!!..Umekunywa chai lakini Ndugu yangu
Yes. Ndiyo maana unaona mimi sihoji jina lako. Aidha, siingizi visivyohusiana kwenye mjadala. Kweli mimi na kuzidi kwa tatizo la akiliKumbe Una matatizo ya Akili kunizidi!!
Tunataka wapigane wapate Fedha (mafanikio) wewe hutaki wapigane (chuki,wivu,kisirani) ndio maana nimesema wewe Una matatizo kwenye akili zako kunishinda!!....Nakuuliza Umekunywa chai kweli?Unahamisha mjadala, kuna uhusiano gani usemacho na mada. Jenga hoja. Acha wivu kwa vijana, wanatumia nguvu na juhudi kubwa kufika hapo walipo.
Sasa nikueleweshe
Kuhusu jina. Japo, haihusiani na mada, kwakuwa umelileta nitakuelewesha. Jina ni utambulisho na ni alama tu. Hebu niambie, ni nani hapa JF aliwahi kukuletea cheti chake cha kuzaliwa ulichojiridhisha kimesajiliwa na mamlaka husika? Wewe kujitambulisha kwa jina hilo, kunathibitishaje ni jina lako halisi? Mimi kutumia jina hilo,kunathibitishaje kuwa si jina halisi?Unakumbuka hapo juu nilikwambia umeshambuliwa na zika? Sikukosea bila shaka.
Msisitizo: Usiharibu mjadala. Hiki ulicholeta hakina uhusiano na mada.
Leo Manchester United wakija Tanzania kucheza na Simba tutasema nini?!!..Kama Huyu Bondia wenu hawezi kupigana na kiduku kisa anapigana nnje ya nchi?!!..Au unachosema hujui,au njaa ndio imevuluga akili zako kiasi hiki?!!..Yes. Ndiyo maana unaona mimi sihoji jina lako. Aidha, siingizi visivyohusiana kwenye mjadala. Kweli mimi na kuzidi kwa tatizo la akili
Ubinafsi na wivu ndio chanzo cha mafanikio hili nalo unataka Hadi upigwe makofi ndio ufahamu!!!Haya unayoongeza hayahusiani na mada ndugu. Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. Umejaa ubinafsi na wivu. Unaona maneno machafu kwa mwenzako, yako huyaoni? Wewe ndo umeona yote uliyoandika ni matakatifu, sivyo? Umeyaanzisha mwenyewe. Na ulipoleta mada, ulijua fika hapa kuna mamia ya watu wenye mitazamo tofauti. Hivyo, kubali kuwa si kila uwazacho ndicho wengine wanachowaza.
Ikibidi basi kubali kuhitilafiana bila ya kuhasimiana
Hii haikuwa hoja yako ya msingi. Unayumba, rejea koment yako ya awali iliyotufikisha hapa.Tunataka wapigane wapate Fedha (mafanikio) wewe hutaki wapigane (chuki,wivu,kisirani) ndio maana nimesema wewe Una matatizo kwenye akili zako kunishinda!!....Nakuuliza Umekunywa chai kweli?
Ubinafsi na wivu ndio chanzo cha mafanikio hili nalo unataka Hadi upigwe makofi ndio ufahamu!!!
Ninaanza kuona kwanini unaonekana kushambuliwa na zika. Bado hata mantiki inakusumbua. So, ulitaka unachotaka wewe ndicho akifanye Mwakinyo ama Kiduku? Unashindwa kujua hata hili dogo tu, kuwa ile ni kazi ya watu kama wewe jinsi unavyopigika hadi unakuja kulazimisha watu wafanye utakayo humu mtandaoni?Leo Manchester United wakija Tanzania kucheza na Simba tutasema nini?!!..Kama Huyu Bondia wenu hawezi kupigana na kiduku kisa anapigana nnje ya nchi?!!..Au unachosema hujui,au njaa ndio imevuluga akili zako kiasi hiki?!!..
Ok ahsante naona pia ikiwezekana ni ngumu kwa sababu unayepambana nae km uzito ni 70-76Kwa sasa wapo uzito tofauti, ila kwenye ndondi kuna kuongeza au kupunguza uzito ili kuwa katika daraja moja.