Igweeeeeeeeeeee
Hatimaye file limefika kwa waziri mkuu
Jana kabla ya kuahirishwa kwa vikao vya bunge, Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa alipongeza juhudi na mafanikio yanayofikiwa na wanamasumbwi wa kitanzania kwani wanaiwakilisha nchi vyema katika anga la kimataifa
Alienda mbali zaidi kwa kuwataja Hassan Mwakinyo na Twaha Kiduku kwamba wamefanya vizuri katika ndondi hivyo hatuna zaidi cha kupoteza zaidi ya kushuhudia mpambano mkali baina ya mabondia hao
Waziri amesema sasa tusubirie pambano kati ya Hassan Mwakinyo vs Twaha Kiduku
Hapa tunaenda kumpata Tanzania one kwa vitendo sio porojo tu
Hatimaye file limefika kwa waziri mkuu
Jana kabla ya kuahirishwa kwa vikao vya bunge, Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa alipongeza juhudi na mafanikio yanayofikiwa na wanamasumbwi wa kitanzania kwani wanaiwakilisha nchi vyema katika anga la kimataifa
Alienda mbali zaidi kwa kuwataja Hassan Mwakinyo na Twaha Kiduku kwamba wamefanya vizuri katika ndondi hivyo hatuna zaidi cha kupoteza zaidi ya kushuhudia mpambano mkali baina ya mabondia hao
Waziri amesema sasa tusubirie pambano kati ya Hassan Mwakinyo vs Twaha Kiduku
Hapa tunaenda kumpata Tanzania one kwa vitendo sio porojo tu