Sisi tunafata maneno ya wenye timu waliotuambia kwa kiburi na kejeli "Uzalendo pelekeni Taifa Stars".
Huyu Waziri Mkuu alipaswa kukemea kwanza hiyo kauli na kumuelekeza dogo wa upinde wa mvua Ally Kamwe atuombe radhi, ndo aje atusihi tuiombee Yanga.
Huyu dogo alionyesha dharau sana kwa timu ya taifa (Taifa Stars).Ile kauli ni kama alikuwa anawaambia mashabiki wa Simba "Uzalendo wenu kwetu hatuutaki. Tutashinda na kubeba kombe bila support yenu. Kama ni uzalendo pelekeni kwa Taifa Stars ambayo ni timu ya kichovu, isiyo na mbele wala nyuma. Hiyo ndo inahitaji support yenu."
Ally Kamwe aliitukana sana Taifa Stars, sema viongozi wa nchi hii na TFF kwa kuwa hawana akili walishindwa kuijua kile kilichomaanishwa na dogo wa lifestyle iliyopigwa marufuku na kuwekewa adhabu ya kifo Uganda.