Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aonya barua za Serikali kusambaa WhatsApp, Instagram

Huyu aliwahi kutuaminisha kuwa Rais magufuli ni mzima wa afya njema. Hata hii taarifa naichukulia ni ya kawaida tu
 
Hiyo no point maana ndo nucluleus ya serikali..big up
 
Ndio siri anayozungumzia hapo. Yeye hakupaswa kueleza Rais amepatwa na nini na haipo kwenye mamlaka yake. Huenda na yeye aliambiwa cha kujibu na taasisi ya Rais. Sasa utamlaumu vipi au kumshusha thamani.
Point sanaa hiyo ndgu.... Serikali Ina Mambo mengi sanaa sio kutoa tu taarifa but preparation pia zahitajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…