Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Noted Hakuna NamnaHuyu jamaa ana kaustaarabu fulani kakuheshimiana. Chadema angalieni kama mnaweza kumpa poo!! Ni mambo ya kiitifaki na kuheshimiana!!
Yeye katangulia, Magufuli atafata baada ya October 28boss wake anasemaje, maana naye alitaka apite pasipo kupingwa!
Hapana, ni expansion joint!Upande wa kulia ni ufa au waya wa umeme!?
hata kama atapita ila jasho litamtoka mpaka kunako..Tz ya sasa si kama ile ya kijani oyeee!Yeye katangulia, Magufuli atafata baada ya October 28
ni kawaida kwa watu wa pwaniHuyu jamaa ana ka ustaarabu furani ..ka kuheshimiana...CDM angalieni kama mnaweza kumpa poo!! Ni mambo ya kiitifaki na kuheshimiana!!
Ni expansion joint mkuuUpande wa kulia ni ufa au waya wa umeme!?
Hapana, ni expansion joint!
AyeNi expansion joint mkuu
Huyo huyoMkurugenzi huyu si ndo aligoma kutoa form ya uteuzi kwa mgombea wa chadema