Mfumo wa dunia unataka vyama vingi lakini Africa tumeupokea mfumo wa vyama vingi kwa shingo upande
haiwezekani kabisa wapinzani pekee yao ndio wanakoseaga kujaza fomu lakini ccm wazee wa ndio wao ndio akili kubwa awakoseagi kujaza fomu hata mgombea mmoja kweli
Ina maana ccm hakuna mburura hata mmoja ahaaa ..