Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Hapa hapana ntamfuata kwake Ruangwa wakati wa kampeni nimpigie ata kampeni na kumuombea kuraOngea nae hata katika Uzi huu, atakusikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hapana ntamfuata kwake Ruangwa wakati wa kampeni nimpigie ata kampeni na kumuombea kuraOngea nae hata katika Uzi huu, atakusikia.
Uwaziri mkuu ni Cheo Cha juu sana, naamini HATOGOMBEA ubunge tena.Hapa hapana ntamfuata kwake Ruangwa wakati wa kampeni nimpigie ata kampeni na kumuombea kura
Haya ngoja nimtie Moyo Mhe! MajaliwaUwaziri mkuu ni Cheo Cha juu sana, naamini HATOGOMBEA ubunge tena.
Mtie moyo sasa Ili alitumikie Taifa vizuri Kwa muda uliobaki.
Ubarikiwe.Haya ngoja nimtie Moyo Mhe! Majaliwa
Majaliwa Khasim Majiliwa wewe ni mtu na nusu kazi zako ni nzuri na za kizalendo zinaonekana.
Nakutakia kila la kheri kwenye ndoto zako kubwa
Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.Yule mzee kwa kweli anapambana sana tuache unafiki anafika sehem anakuta watu wamekula pesa na yy hana mamlaka ya kuwafukuza kazi anabaki kujiongelesha tu na kuumia tu na akimaliza huyo huyo mtu anakuta tena kahamishwa kapelekwa sehem na mamlaka za uteuzi anabaki kjimya tu lakini kwa wale wako chini yake wanaisoma namba.Kuna watu wangekaa pale juu hii nchi ingenyooka .mfano Rais majaliwa Pm awe makonda vice prezda awe polepole au ally hapi viabaka wangezijamba hela zetu.
Hacheki na mtu huku Mawaziri na Watendaji wengine Hawatii maagizo yake? Waziri Mkuu wa namna gani huyu anayeruhusu hali kama hiyo? Ajitathmini.Kasimu anapambana tena hacheki na mtu
mzalendo wa kijaniNaongea kama Mwananchi mzalendo nisiye na chama chochote.
Pesa ikishaliwa hairudi wala haiwezi kujambwa,Yule mzee kwa kweli anapambana sana tuache unafiki anafika sehem anakuta watu wamekula pesa na yy hana mamlaka ya kuwafukuza kazi anabaki kujiongelesha tu na kuumia tu na akimaliza huyo huyo mtu anakuta tena kahamishwa kapelekwa sehem na mamlaka za uteuzi anabaki kjimya tu lakini kwa wale wako chini yake wanaisoma namba.Kuna watu wangekaa pale juu hii nchi ingenyooka .mfano Rais majaliwa Pm awe makonda vice prezda awe polepole au ally hapi viabaka wangezijamba hela zetu.
Habari ya mjini ni makonda. Waziri mkuu tumeshamsahau. Huwa anafokaga tu lakini hafatiliagi. Akifoka akaonekana kwenye tv basi kwake ni furaha baada ya hapo Hana mda tenaSalaam, Shalom!!
Tuliiona Kasi ya Kassim Majaliwa kiutendaji chini ya Hayati Magufuli, lakini baada ya kufariki Kwa Magu na Kuingia kiongozi mwingine, alijaribu kuendeleza Kasi hiyo lakini ghafula akaanza kuwa mpole, Amepitia misukosuko kadhaa akishutumiwa Kwa tuhuma zisizo na UKWELI wowote.
Tumewahi kusikia Bungeni Mpina akilalamika kuwa maagizo yake yanapuuzwa, Kupuuzwa Kwa maagizo ya Waziri mkuu kunamvunja moyo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi, hahitaji kuwekewa WASAIDIZI aina ya Biteko au makaripio ya kijana wa chama Ili kutimiza WAJIBU wake anaoujua vyema, Ana uwezo wa kuchukua hatua vizuri sana, na alifanikiwa sana Awamu ya Tano.
Waziri Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi aungwe mkono Ili amalizie miaka yake ya utumishi na APUMZIKE 2025 Kwa Heshima.
ANGALIZO: Ushauri niliotoa ni wangu binafsi, sijatumwa na yeyote, nimetumwa na NAFSI yangu Kwa Upendo wa Kweli juu ya viongozi wazalendo wa Nchi yangu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen.
Karibuni🙏
Cc Suzy Elias
Kuna wanajaribu au wametumwa kumhujumu majaliwa ili 2025 asijitokeze. Wanajua yeye ndiye chaguo kuendeleza kazi ya jpmSalaam, Shalom!!
Tuliiona Kasi ya Kassim Majaliwa kiutendaji chini ya Hayati Magufuli, lakini baada ya kufariki Kwa Magu na Kuingia kiongozi mwingine, alijaribu kuendeleza Kasi hiyo lakini ghafula akaanza kuwa mpole, Amepitia misukosuko kadhaa akishutumiwa Kwa tuhuma zisizo na UKWELI wowote.
Tumewahi kusikia Bungeni Mpina akilalamika kuwa maagizo yake yanapuuzwa, Kupuuzwa Kwa maagizo ya Waziri mkuu kunamvunja moyo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi, hahitaji kuwekewa WASAIDIZI aina ya Biteko au makaripio ya kijana wa chama Ili kutimiza WAJIBU wake anaoujua vyema, Ana uwezo wa kuchukua hatua vizuri sana, na alifanikiwa sana Awamu ya Tano.
Waziri Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi aungwe mkono Ili amalizie miaka yake ya utumishi na APUMZIKE 2025 Kwa Heshima.
ANGALIZO: Ushauri niliotoa ni wangu binafsi, sijatumwa na yeyote, nimetumwa na NAFSI yangu Kwa Upendo wa Kweli juu ya viongozi wazalendo wa Nchi yangu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen.
Karibuni🙏
Cc Suzy Elias
Pole sana. Bado sana kumfaham Rabbon !!mzalendo wa kijani
Mamlaka yake huyo kijana,yapo ibara ipi katika KATIBA YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?Habari ya mjini ni makonda. Waziri mkuu tumeshamsahau. Huwa anafokaga tu lakini hafatiliagi. Akifoka akaonekana kwenye tv basi kwake ni furaha baada ya hapo Hana mda tena
Ya 2025 ni Majaaliwa!!Kuna wanajaribu au wametumwa kumhujumu majaliwa ili 2025 asijitokeze. Wanajua yeye ndiye chaguo kuendeleza kazi ya jpm
Hana mamlaka yoyote ila tunamtaka hivyohivyo ili awanyooshe zaidiMamlaka yake huyo kijana,yapo ibara ipi katika KATIBA YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Comedy show!!Hana mamlaka yoyote ila tunamtaka hivyohivyo ili awanyooshe zaidi