Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mchapakazi na mzalendo, aungwe mkono

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mchapakazi na mzalendo, aungwe mkono

Uwaziri mkuu ni Cheo Cha juu sana, naamini HATOGOMBEA ubunge tena.

Mtie moyo sasa Ili alitumikie Taifa vizuri Kwa muda uliobaki.
Haya ngoja nimtie Moyo Mhe! Majaliwa

Majaliwa Khasim Majiliwa wewe ni mtu na nusu kazi zako ni nzuri na za kizalendo zinaonekana.
Nakutakia kila la kheri kwenye ndoto zako kubwa
 
Yule mzee kwa kweli anapambana sana tuache unafiki anafika sehem anakuta watu wamekula pesa na yy hana mamlaka ya kuwafukuza kazi anabaki kujiongelesha tu na kuumia tu na akimaliza huyo huyo mtu anakuta tena kahamishwa kapelekwa sehem na mamlaka za uteuzi anabaki kjimya tu lakini kwa wale wako chini yake wanaisoma namba.Kuna watu wangekaa pale juu hii nchi ingenyooka .mfano Rais majaliwa Pm awe makonda vice prezda awe polepole au ally hapi viabaka wangezijamba hela zetu.
 
Yule mzee kwa kweli anapambana sana tuache unafiki anafika sehem anakuta watu wamekula pesa na yy hana mamlaka ya kuwafukuza kazi anabaki kujiongelesha tu na kuumia tu na akimaliza huyo huyo mtu anakuta tena kahamishwa kapelekwa sehem na mamlaka za uteuzi anabaki kjimya tu lakini kwa wale wako chini yake wanaisoma namba.Kuna watu wangekaa pale juu hii nchi ingenyooka .mfano Rais majaliwa Pm awe makonda vice prezda awe polepole au ally hapi viabaka wangezijamba hela zetu.
Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Majaliwa ametuthibitishia Uzalendo na uchapakazi wake akiwa katika mfumo corrupt.

Abarikiwe.
 
Yule mzee kwa kweli anapambana sana tuache unafiki anafika sehem anakuta watu wamekula pesa na yy hana mamlaka ya kuwafukuza kazi anabaki kujiongelesha tu na kuumia tu na akimaliza huyo huyo mtu anakuta tena kahamishwa kapelekwa sehem na mamlaka za uteuzi anabaki kjimya tu lakini kwa wale wako chini yake wanaisoma namba.Kuna watu wangekaa pale juu hii nchi ingenyooka .mfano Rais majaliwa Pm awe makonda vice prezda awe polepole au ally hapi viabaka wangezijamba hela zetu.
Pesa ikishaliwa hairudi wala haiwezi kujambwa,
Angekuwa anapambana angehakikisha kwanza kuna mfumo bora ambao pesa za umma haziwezwi kuchepushwa kirahisi.
Hizo za kufokea, kufukuza na kuhamisha watu mara nyingi ni mbwembwe tu kama pesa za umma zinaweza kuliwa kirahisi.
 
Salaam, Shalom!!

Tuliiona Kasi ya Kassim Majaliwa kiutendaji chini ya Hayati Magufuli, lakini baada ya kufariki Kwa Magu na Kuingia kiongozi mwingine, alijaribu kuendeleza Kasi hiyo lakini ghafula akaanza kuwa mpole, Amepitia misukosuko kadhaa akishutumiwa Kwa tuhuma zisizo na UKWELI wowote.

Tumewahi kusikia Bungeni Mpina akilalamika kuwa maagizo yake yanapuuzwa, Kupuuzwa Kwa maagizo ya Waziri mkuu kunamvunja moyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi, hahitaji kuwekewa WASAIDIZI aina ya Biteko au makaripio ya kijana wa chama Ili kutimiza WAJIBU wake anaoujua vyema, Ana uwezo wa kuchukua hatua vizuri sana, na alifanikiwa sana Awamu ya Tano.

Waziri Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi aungwe mkono Ili amalizie miaka yake ya utumishi na APUMZIKE 2025 Kwa Heshima.

ANGALIZO: Ushauri niliotoa ni wangu binafsi, sijatumwa na yeyote, nimetumwa na NAFSI yangu Kwa Upendo wa Kweli juu ya viongozi wazalendo wa Nchi yangu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen.

Karibuni🙏

Cc Suzy Elias
Habari ya mjini ni makonda. Waziri mkuu tumeshamsahau. Huwa anafokaga tu lakini hafatiliagi. Akifoka akaonekana kwenye tv basi kwake ni furaha baada ya hapo Hana mda tena
 
Salaam, Shalom!!

Tuliiona Kasi ya Kassim Majaliwa kiutendaji chini ya Hayati Magufuli, lakini baada ya kufariki Kwa Magu na Kuingia kiongozi mwingine, alijaribu kuendeleza Kasi hiyo lakini ghafula akaanza kuwa mpole, Amepitia misukosuko kadhaa akishutumiwa Kwa tuhuma zisizo na UKWELI wowote.

Tumewahi kusikia Bungeni Mpina akilalamika kuwa maagizo yake yanapuuzwa, Kupuuzwa Kwa maagizo ya Waziri mkuu kunamvunja moyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi, hahitaji kuwekewa WASAIDIZI aina ya Biteko au makaripio ya kijana wa chama Ili kutimiza WAJIBU wake anaoujua vyema, Ana uwezo wa kuchukua hatua vizuri sana, na alifanikiwa sana Awamu ya Tano.

Waziri Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi aungwe mkono Ili amalizie miaka yake ya utumishi na APUMZIKE 2025 Kwa Heshima.

ANGALIZO: Ushauri niliotoa ni wangu binafsi, sijatumwa na yeyote, nimetumwa na NAFSI yangu Kwa Upendo wa Kweli juu ya viongozi wazalendo wa Nchi yangu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen.

Karibuni🙏

Cc Suzy Elias
Kuna wanajaribu au wametumwa kumhujumu majaliwa ili 2025 asijitokeze. Wanajua yeye ndiye chaguo kuendeleza kazi ya jpm
 
Habari ya mjini ni makonda. Waziri mkuu tumeshamsahau. Huwa anafokaga tu lakini hafatiliagi. Akifoka akaonekana kwenye tv basi kwake ni furaha baada ya hapo Hana mda tena
Mamlaka yake huyo kijana,yapo ibara ipi katika KATIBA YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
 
Kuna wanajaribu au wametumwa kumhujumu majaliwa ili 2025 asijitokeze. Wanajua yeye ndiye chaguo kuendeleza kazi ya jpm
Ya 2025 ni Majaaliwa!!

Ingawa historia inatuonyesha Mbali na Nyerere, hajawahi tokea PM akawa Rais.
 
Back
Top Bottom