Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Anajua ninakuja akanituma [emoji13][emoji13][emoji13]“hata asubuhi nilivyokuwa natoka Dodoma nimempigia kumjulisha ratiba yangu, hata juzi alikuwa anajua ninakuja akanituma, wasalimie wana Njombe na nilitoa Salam.”
Contradictory
Maccm yanafukarisha wenzao huku yenyewe yakijigamba kwamba yana mavieiteHatuliombei taifa la Tanzania mabaya.
Twaiombea CCM na watu wake mabaya, mukufeeeee
Ameen tena hiii skendo isiwe ua kweliKifo unachomuombea mwenzio chaweza kukurudia mwenyewe
Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji173][emoji1241][emoji106][emoji111][emoji120]
Na hizi ndio staili za nchi za wajamaaRais atawashangaza wengi kama Yule Kim
Mh na ungekua unadeal na swala la kugawa pumzi si ungebaki wewe na mumeo tu?Yaani unamaliza hewa. Wahi tu!
Ni lazima aonekane hadharani kila baada ya muda gani kwani?Fact.
Magufuli hajaonekana hadharani wiki ya pili.
Kwa nini?
Pluto na jupeterKabisa... Unawakumbuka waliosema Lowassa mgonjwa wengi wao hawapo duniani... sijui waliko... nisiulizwe please, kama ni Mars, Jupita etc sijui
📌📌📌📌nitaludi kukujibu mkuuNa uzee wangu huu sijawahi kuona waganga njaa kwa jina la upinzani wamekaukiwa na tetesi....hebu fikiria upepo umeanzia Nairobi, India, Mloganzira na sasa utasikia, "wamechonga mwingine huyu wetu alitwaliwa mbinguni..."
We ndio mtu mjinga kabisa humu.Kabisa mkuu,ile habari niliipuuza mapema asubuhi tu,kwanza mtu yupo ulaya halafu anasema rais wa tanzania haonekani,ki vipi? Pumbavu kabisa lissu
Umeambiwa na waziri mkuu rais yupo anaendelea na majukumu yake Ikulu...unabisha sasa? Au kwakuwa majibu haya ni tofauti na yale uliyolijazwa na kuumuka?We ndio mtu mjinga kabisa humu.
Sasa niambie kaonekana?
Hi wiki ya ngapi? Hajaonekana?
Ni haki yet kujua muda Ni mrefu Sana.
Lissu hajaingizwa chaka Mzee, Lissu kahoji yu wapi jiwe?Sasa ni kwanini Lissu aingizwe Choo cha kike na Makachero?