Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Baada ya waziri mkuu kuongea na kutoa taarifa ya alipo Rais hatimae magazeti mengi yataandika habari za Rais kwa Mara ya kwanza tangu tarehe 28 February. Na huu ni uoga na unafiki wa hali ya juu.

Haiwezekani watu wapige kelele kumtafuta Rais wao wawe kimya yaani hata kama waliogopa kuungana na wananchi kumtafuta si wangeandika chochote hata cha kukanusha habari za magazeti ya Kenya. Kama hilo nalo ni gumu si wangeelimisha wanachi kuacha maneno ya uzushi,hilo nalo waliogopa kufungiwa?

Magazeti mlinyamaza endeleeni kunyamaza hivyo hivyo mpaka Rais atakapo onekana hadharani.

Kwa sababu taarifa ni Rais haonekani, waliotoa taarifa ya Rais kutokuonekana na aliyetoa taarifa Rais yupo kimaadili ya uandishi wote ni wazushi kwa sababu jibu bado ni kizungumkuti. Kwa sababu mwingine anasema Rais mgonjwa mwingine anasema Rais mzima, kwani Rais ni utumbo ambao ili umuone ni mpaka umdunge kisu?

Kuna msemo no research no right to speak subirini atoke hadharani ndipo mkurupuke na magazeti yenu. Msitafute pa kutokea kisa waziri mkuu kaongea.

MAGAZETI YA TANZANIA NI WAOGA HADI MNAKERA.
 
Waziri mkuu kamaliza mjadala, tuendelee kumuombea Raisi wetu aendelee kuchapa kazi kuwatumikia Watanzania ,Tuache kusiliza maneno ya wasaliti wa nchi yetu ambao wamekimbilia huko ulaya washindwe na walegee
Bado amani haipo.... mzee anatakiwa aseme neno.
Lisu hajaingizwa Chaka Mzee,Lisu kahoji you wapi jiwe?
Kwamba hajaonekana 2 wiks.na Leo Ni wiki ya tatu.
Je wewe umemwona Rais.
Lisu kahoji.
You wapi jiwe?
Hoja ya lisu haijajibiwa.
TL hakuoji tu, alisema pia alipo na akatoa update. If he was wrong atakuwa kajishushia heshima sana endapo raisi ni mzima.
 
Umeambiwa na waziri mkuu rais yupo anaendelea na majukumu yake Ikulu...unabisha sasa? Au kwakuwa majibu haya ni tofauti na yale uliyolijazwa na kuumuka?
Na ikitangazwa kuwa amekufa wewe na PM wako tukafanye nini??yupo yupo wapi?? Majibu yenu ya kipuuzi huko huko lumumba kenge nyinyi
 
Na ikitangazwa kuwa amekufa wewe na PM wako tukafanye nini??yupo yupo wapi?? Majibu yenu ya kipuuzi huko huko lumumba kenge nyinyi
Kufa mkuu kila mtu atakufa, ogopa Sana kujaza mawazo yako vitu HASI, kila neema, dhambi, utajiri, umakini, nk huanzia mawazoni mwetu....kufa kwa mtu yoyote hakuongezi wala kupunguza kitu kwangu au kwako...hapo ulipo unajua utakufa Sana ngapi?
 
Ngosha anapiga zake mahindi ya kuchemsha huku watu wanahaha na uzushi [emoji38]
Wewe jamaa huwa unajiona una akili Sana lkn sivyo.
Na kwa komenti hi ndio kabisa nimejua wewe Ni empty head.

Hebu jiulize Rais hajaonekana wiki mbili mahala popote Kama ilivyozoeleka,je Ni makosa kutaka kujua alipo?
Anakuala mahindi ya kuchemsha huku nchi iko kwenye taharuki,kwa Nini uvumi huu usikanushwe mapema Bali yeye anakula mahindi tu.
Mtu mmoja kahoji you wapi mkuu wetu wa nchi.kosa like wapi hapo?
Aliumwa Nyerere tulikua tuanapata update from London.

Aliumwa Mkapa baridi yabisi tulipta taarifa from Switzerland.

Aliumwa kikwete tezi dume tulikua tunapata taarifa from USA.

Kwa Nini leo?
Hata Kama haumwi kwa Nini uvumi uachwe ukue?
Kumbuka kufanya kazi kwa kujifungia sio staili ya Magu,hatujaizoea.
 
Hawezi kufa. Unakufa kama huna kazi za kufanya, huyu hajaimaliza kazi bado.
Dah! Hawezi kufa? Umejuaje kama bado kuna kazi hajamaliza?
Au wewe ni PA wa Mungu, umechungulia file la Magu ukaona kuna kazi bado hajamaliza.
Ebe chungulia na file langu, kama nimemaliza kazi niondoke zangu maana hii nchi siyo mahali salama pa kuishi sasa!
 
Serikali ya Kenya isingekubali magazeti yake yatumike.
Waliyaacha yaseme sababu ni kweli.

Afu pia jua kuwa lazima hayo magazeti yaliulizia serikalini kama ni kweli au la
Una akili Sana we jamaa.

Na kwa kuongezea magazeti hayo husomwa dunia nzima,hivyo kwa kuandika vitu feki kwa lengo la kupotosha yatapoteza heshima na kuaminika kwake.hivyo yasingekua Tayari kurisk.

Tatu Kenya na sisi sio marafiki kivile Hadi kutumia vyombo vyao kupotosha.ili kumlinda stonman.

Kuna kitu hakiko sawa
 
Kufa mkuu kila mtu atakufa, ogopa Sana kujaza mawazo yako vitu HASI, kila neema, dhambi, utajiri, umakini, nk huanzia mawazoni mwetu....kufa kwa mtu yoyote hakuongezi wala kupunguza kitu kwangu au kwako...hapo ulipo unajua utakufa Sana ngapi?
Kama ana akili ataelewa
 
Ni kwa nini tuhangaike kubashiri mambo. Kama akifa si tutajulishwa tu? Mbona tulijulishwa ya Hayati baba wa Taifa na Mzee Mkapa? Hivyo ni kawaida kufa na ni njia ya kila mmoja.

Na akifa kwa ugonjwa wowote ule ina maana ndiyo Mungu amepanga afe nao. Timeambiwa ni mzima tuchape kazi. Ikiwa siyo mzima tutaambiwa pia. Tusubiri mamlaka ziongee.
 
Una akili Sana we jamaa.
Na kwa kuongezea magazeti hayo husomwa dunia nzima,hivyo kwa kuandika vitu feki kwa lengo la kupotosha yatapoteza heshima na kuaminika kwake.hivyo yasingekua Tayari kurisk...
Gazeti linaandika news kulingana na source. Sasa wamejitia kitanzi cha kumwamini Mr Mzungu ndipo balaa limeanzia hapo la kushindwa ^kuwaingiza chuo cha hakika^
 
Hivi huyu zwazwa alipewaje ukuu wa mkoa??Tangu lini RC Mbeya kawa msemaji wa Ikulu kama siyo uwendawazimu?
Jitu hata linapoongea tu linaonekana kabisa lina mtindio wa Ubongo!!!
Hawa ndo vichaa wenzake na Magu, like son like daddy...!!!Rubbish.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…