Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Huko nyuma rais hata akipiga simu au akisalimiana na mtu utaona tarifa kwa umma. Vyombo vya habari lasima vionyshe hababari kuhumsu Magu kila siku.sasa iweje leo kimya?
Kuna siku alikuwa anatembelea kitengo cha kushona nguo hapo Ikulu
 
Iko Siku taifa star ilishinda kumbe alikuwa anacheki mechi,akatoka hadharani kufuraia ushindi na watanzania ndo nkaona mezani alikuwa anakula ugali na sato.
Wapambe wake wangekuwa na akili wangemuambia asimkufuru Mungu pale Kanisani. Halafu ubaya wake yuko kitandani, badala ya wapambe na waimba sifa wake kumuombea toba wanaendelea kuvurumusha watusi kwa Viongozi wa dini. Hizi laana nyingine ni za kujilazimisha.
 
JPM hajawahi kusemewa na mtu au kiongozi mwingine. Huwa anajisemea mwenyewe. Tunamsubiri kanisani Jumapili kama wewe ilivyo msikitini leo Ijumaa. Tusipomuona Jumapili tutakwenda mwenyewe Ikulu kumuona Rais wetu.
 
Kiukweli, kama Watanzania wenzetu wanaweza kufanya haya alafu wasichukuliwe hatua basi linchi limeoza! Huku ni kuvuka mstari! Aibu! Aibu! Aibu! Kushabikia haya!
Mtu anayezusha kifo cha mtu na anayeua mtu yupi anayestahili kuchukuliwa hatua? Hata mimi sifurahii wala kuunga mkono hizi rumour lakini nataka tu kukumbusha kuwa usipande bangi utegemee mchicha. Na mbaya zaidi hii serikali ina kiburi cha kufa mtu. Hawaongozi kwa kutumia katiba.
 
Mfano kesho akijitokeza alafu baada ya wiki Pierelikwidi akazusha tena ajitokeze tu?? Let's be fair!

Nimesoma vyombo vyote vya kimataifa vilivyoripoti hii habari wame quote taarifa ya Lissu au opposition in general!
Hivi wewe unaelewa mjadala unahusu nini? Rais kupotea kwa wiki mbili ni jambo la kawaida? Tumia common sense hata kama ni ushabiki. Kitendo cha rais kutoonekana kwa wiki mbili hata kama ni mzima na anafanya kazi kinaonyesha utawala huu ulivyojaa watu wa hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…