Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Hahaha
 
Mjomba wangu ni afisa kipenyo mwandamizi kuna jambo zito kaniambia.

Waziri mkuu kama anabisha amwambie Magufuli anyooshe kidole juu ama afanye kama anajikuna halafu apigwe picha.
Ila kwa uhalisia kama Rais angekuwa katika hali kama hiyo inayosemwa ni dhahiri kungekuwa na taharuki na isingewezekana kamwe kwa waziri Mkuu kuendelea na ziara kama hizo.

I BET THE PRESIDENT IS FULLY FIT AND FINE
 
Waziri mkuu hawezi kufanya chochote bila makamu wa rais kuwafahamu kinachojiri maana wana walinzi wa usalama ambao wote huripoti kwa kwa mkurugenzi kisha rais anapata briefing/debriefing hivyo usimhusishe kwa hisia zisizo na na ushahidi na kwanini usiwalenge viongozi wa chama chake ama walio madarakani au kustaafu ndio wenye mwanya zaidi kutekeleza hicho unachokitengezea dhania potofu.
 
😁😁😁😁😁
 
 
Hivi nchi hii kuna kiongozi muongo zaidi ya Ndugu Kasimu ?
kama unaakili vizuri hebu tueleze ni nchi gani kiongozi wao akiwa madarakani alishawahi kufariki dakika mbili wakatangaza? juwa yule ni kiongozi wa nchi siyo kiongozi wa kundi la wavuta bange anaongoza watu wa aina tofauti tofauti we huoni ilivyotangazwa chadema wakaanza kufanya sherehe? ila sasa hivi wanalia kuliko hata angekuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…