Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Tapeli nambari moja Tanzania. Alitapeli nchi nzima akiwa msikitini
 
[emoji23]
This is way way above your IQ fathom, huwezi kuelezwa sawa na sikio la kufa haliskii dawa. Wewe hujasikia hata maofisini ikija habari ya msiba watu wanajizuia kuwastua watoto wa marehemu? Wao hapo walipo walikuwa wanasubiri tangazi rasmi waanze disco, dunia ikawasuta.
 
Kifo unachomuombea mwenzio chaweza kukurudia mwenyewe

Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji173][emoji1241][emoji106][emoji111][emoji120]
Mfichaficha maradhi.....
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…