Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa leo hii ameshiriki Tulia Marathon Mkoani mbeya. Mbio ambazo zimekuwa zikifanyika kila mwaka chini ya udhamini wa Tulia Trust iliyo chini ya Mheshimiwa Speaker wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu Rais wa IPU.
Ambapo mbio hizo kilele chake ilikuwa ni katika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine iliopo ndani ya jiji la mbeya . Ambapo ni mahali hapo patafanyika pia tamasha kubwa sana la kukata na shoka la mziki chini ya wasanii mbalimbali wa kizazi kipya ambao watatumbuiza na Kuitetemesha kwa raha mioyo ya wana mbeya. Ambapo ZUCHU msanii maarufu wa kike hapa nchini na ambaye anaendelea kutamba na vibao vyake mbalimbali ataongoza wasanii wengine mbalimbali ambao wamefurika kwa wingi.
Kwa ajili ya kupiga vibao vikali kwa ajili ya maelfu ya wananchi ambao wamefurika na kumiminika kwa wingi toka mikoa mbalimbali ya nyanda za juu kusini ,ambao wamekesha wakitembea kwa ajili ya kuwahi kushiriki na kushuhudia tukio hilo kubwa.ambapo misururu mirefu ya watu na magari imeshuhudiwa ikielekea uwanja wa Sokoine.
Lakini pia taarifa za kiintelijensia zinaonyesha kuwa wana CHADEMA mkoani Mbeya wamechanganyikiwa sana na kupata presha baada ya kushuhudia maelfu ya watu wakimiminika na kufurika katika tukio hilo,wakati wao CHADEMA walikuwa wanatamani watu wasihudhurie .kwa hakika Dkt Tulia ndio Mbeya yenyewe na Mbeya ni Dkt Tulia. Tulia kalituliza jiji na wana Mbeya kwa ujumla. Ni raha na furaha tupu chini ya ubunge wa dkt Tulia katika jiji la mbeya,tofauti na wakati wa Sugu ambapo watu walijaa msongo wa mawazo na hasira tupu utafikiri wana matatizo fulani kichwani.watu Muda mwingi walikuwa wanatembea wanaongea peke yao mabarabarani.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa leo hii ameshiriki Tulia Marathon Mkoani mbeya. Mbio ambazo zimekuwa zikifanyika kila mwaka chini ya udhamini wa Tulia Trust iliyo chini ya Mheshimiwa Speaker wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu Rais wa IPU.
Ambapo mbio hizo kilele chake ilikuwa ni katika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine iliopo ndani ya jiji la mbeya . Ambapo ni mahali hapo patafanyika pia tamasha kubwa sana la kukata na shoka la mziki chini ya wasanii mbalimbali wa kizazi kipya ambao watatumbuiza na Kuitetemesha kwa raha mioyo ya wana mbeya. Ambapo ZUCHU msanii maarufu wa kike hapa nchini na ambaye anaendelea kutamba na vibao vyake mbalimbali ataongoza wasanii wengine mbalimbali ambao wamefurika kwa wingi.
Kwa ajili ya kupiga vibao vikali kwa ajili ya maelfu ya wananchi ambao wamefurika na kumiminika kwa wingi toka mikoa mbalimbali ya nyanda za juu kusini ,ambao wamekesha wakitembea kwa ajili ya kuwahi kushiriki na kushuhudia tukio hilo kubwa.ambapo misururu mirefu ya watu na magari imeshuhudiwa ikielekea uwanja wa Sokoine.
Lakini pia taarifa za kiintelijensia zinaonyesha kuwa wana CHADEMA mkoani Mbeya wamechanganyikiwa sana na kupata presha baada ya kushuhudia maelfu ya watu wakimiminika na kufurika katika tukio hilo,wakati wao CHADEMA walikuwa wanatamani watu wasihudhurie .kwa hakika Dkt Tulia ndio Mbeya yenyewe na Mbeya ni Dkt Tulia. Tulia kalituliza jiji na wana Mbeya kwa ujumla. Ni raha na furaha tupu chini ya ubunge wa dkt Tulia katika jiji la mbeya,tofauti na wakati wa Sugu ambapo watu walijaa msongo wa mawazo na hasira tupu utafikiri wana matatizo fulani kichwani.watu Muda mwingi walikuwa wanatembea wanaongea peke yao mabarabarani.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

