Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Wenzenu wako serious na corona nyie mnawaekitia? Unadhani uongo mnaowadanganya Watanzania kwamba Corona ilikimbia unaaminika na kila nchi?Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema Kitendo cha wachezaji wa Namungo FC na benchi la ufundi na timu mzima kuzuiliwa kwenye uwanja wa Ndege wa Luanda nchini Angola ni siasa za Soka.
Akizungumza leo bungemi jijini Dodoma, Majaliwa amesema, Wizara ya Mambo ya Nje inafuatilia kwa karibu suala hilo kuona namna nzuri ya timu hiyo kucheza mchezo wake wa kombe la shirikisho hapo kesho.