mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Itakuwa ni zile zilizowekwa na CHADEMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo ndio mfano wa Raisi tunayemtakaWaziri mkuu mh Majaliwa ameagiza kufutwa kwa tozo zote zisizo na msingi.
Mh Majaliwa ametoa agizo hilo akiwa mkoani Kagera.
Source: ITV habari
Unazifahamu tozo zozote zisizo za msingi?Uyo ndio mfano wa Raisi tunayemtaka
Tulia wewe pimbi magufuli legacy iwavuluge
Waziri mkuu mh Majaliwa ameagiza kufutwa kwa tozo zote zisizo na msingi.
Mh Majaliwa ametoa agizo hilo akiwa mkoani Kagera.
Source: ITV habari
Uyo ndio mfano wa Raisi tunayemtaka
Mm nna akili timamu sio mwenda wazi muwewe mwendawazimu sio bure?
Wew toa hoja yako acha zakowewe mwendawazimu sio bure?
Amekuwa kanjanja sanaUyu jamaa huwa Ni muongo Sana.
Kama mungu wako alikuwa Magufuli basi tambua magufuli kafa ila kama ilikuwa ni legacy ya Magufuli ambayo ni "uzarendo wa kweli' basi ujueyenyewe inaishiifike mahali tukubali kuwa magu KAFA
Hakuna mtu mnafki kama huyu jamaa ni bingwa wa unafkiHuu ni unafiki na uzandiki.