Wewe kama nani? Una umuhimu gani?Sasa wanavyokutana hivyo bila kutuambia sisi wananchi wana maana gani??
Acha Uongo Rungwe hajawahi kukutana na MaguMbowe alijitia ana kiburi Magufuli akamuonyesha jeuri. Mbona kina mbatia, lipumba, hashim rungwe na maalim seif walikutana na Magufuli tena ikulu. Nenda kagoogle uone.
Tatizo Ccm ni wanafiki mnoWaziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2022 amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2288941View attachment 2288943
Na wewe unalamba Asali?Ni jambo jema coz waugwana utenda kiungwana,tusikubali kurudi kwenye zile zama za giza
Mliyataka wenyewe,mliyapenda wenyewe,acha muisome nambaaaeee,ccm mbele kwa mbele.Mbowe amekuwa katibu mwenezi wa CCM tawi la Ufipa. Wafuasi wake nao wanaimba CCM mbele kwa mbele.
Suti za kibabe😇Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2022 amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2288941View attachment 2288943
What are you scared of, foolish sir?Mbowe amekuwa katibu mwenezi wa CCM tawi la Ufipa. Wafuasi wake nao wanaimba CCM mbele kwa mbele.
Ww mbona hujaenda?Nchi hii ilivurugwa sana kiasi Ikulu au ofisi ya waziri mkuu ambayo sisi wananchi tuliwapangisha watawala ilionekana siyo ya waTanzania wote.
Safi Sana,siasa za uhasama Kama enzi za magufuli zimepitwa na wakati,Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2022 amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2288941View attachment 2288943
Wewe ukikutana na mtu huwa unatuambia sisi wananchi wenzako heri yao wao wametupia hata pichaSasa wanavyokutana hivyo bila kutuambia sisi wananchi wana maana gani??
Sasa huyo aliyewaonyesha wenzie kiburi leo yupo wapi??!Mbowe alijitia ana kiburi Magufuli akamuonyesha jeuri. Mbona kina mbatia, lipumba, hashim rungwe na maalim seif walikutana na Magufuli tena ikulu. Nenda kagoogle uone.
Je wajua?Siasa bhana,niishie tu hapo.
Kudhoofisha CCM BMnavyosema ACT ni CCM A uongo huo unawasaidiaje ??!!
Ulitakiwa uambiwe nini sasa au hawaruhusiwi kuonana?Sasa wanavyokutana hivyo bila kutuambia sisi wananchi wana maana gani??
Uongo utakusaidia nini ?
Lini Hashimu Rungwe alikutana na Magufuli Ikulu?
Hivi unamjua Hashimu Rungwe wewe?
Yule Mwamba aliamua kusimama na CHADEMA, Magufuli akamchukia na kutaka kumuangamiza.