britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kasim Kasim Kasim Kasim Majaliwa nimekutaja mara nne , Una mapungufu yako ya kuwa obdient sana kwa aliyekuchagua yeyote Ila kazi yako naikubali sana
Naona Cross broad ya Kikwete na Mkapa !!!!
May be one day nitafufua uzi huu mwaka 2030 Mungu atuweke ,
Wewe na Hussein Mwinyi mnakubalika zaidi ya wale wanaolazimisha kukubalika!!
Kama si weee basi ni Hussein na itakuwa mwanzo wa kufuta Utaratibu wa Mkristo kwa Muislamu kupokezana!!!
Britanicca
Naona Cross broad ya Kikwete na Mkapa !!!!
May be one day nitafufua uzi huu mwaka 2030 Mungu atuweke ,
Wewe na Hussein Mwinyi mnakubalika zaidi ya wale wanaolazimisha kukubalika!!
Kama si weee basi ni Hussein na itakuwa mwanzo wa kufuta Utaratibu wa Mkristo kwa Muislamu kupokezana!!!
Britanicca