Ili uweze ku survive kwenye siasa za nchii hii..lazima ujifunze kuwa mnafiki narudia tena lazima uende kozi ya unafiki.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
He leo anaongea haya!!! Kweli ukistaajabu ya musa!!!!Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema yoyote atakaye waonea waandishi wa habari wakati wakitimiza majukumu yao watakiona, kwani serikali inawatambua na kuwathamini na isingependa kuona hata siku moja mwandishi anapata tatizo anapotimiza wajibu wake.
===
SERIKALI: HATUTAKUBALI KUONA MWANDISHI WA HABARI ANAONEWA
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali haitakubali kuona Mwandishi anapata uonevu popote kutokana na thamani ya mchango wanaotoa katika kuufahamisha Umma, Ameeleza hayo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Mkoani Morogoro.
Amesema, "Sio Sera ya Serikali kuonea Waandishi wa Habari. Serikali haitomvumilia mtu yeyote atakayemkwaza Mwandishi wa Habari akiwa katika kazi, na hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
Vilevile, amesema hatua kadhaa zinaendelea ili kuyafungulia Magazeti ya Mawio, Mseto, Tanzania Daima na Mwanahalisi akifafanua yalifungiwa Kisheria na Sheria hizo hizo zitafuata taratibu.
Majaliwa amepata wapi hekima hizi?! Mbona hakuwa nazo wakati wa yule mtu?Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema yoyote atakaye waonea waandishi wa habari wakati wakitimiza majukumu yao watakiona, kwani serikali inawatambua na kuwathamini na isingependa kuona hata siku moja mwandishi anapata tatizo anapotimiza wajibu wake.
===
SERIKALI: HATUTAKUBALI KUONA MWANDISHI WA HABARI ANAONEWA
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali haitakubali kuona Mwandishi anapata uonevu popote kutokana na thamani ya mchango wanaotoa katika kuufahamisha Umma, Ameeleza hayo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Mkoani Morogoro.
Amesema, "Sio Sera ya Serikali kuonea Waandishi wa Habari. Serikali haitomvumilia mtu yeyote atakayemkwaza Mwandishi wa Habari akiwa katika kazi, na hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
Vilevile, amesema hatua kadhaa zinaendelea ili kuyafungulia Magazeti ya Mawio, Mseto, Tanzania Daima na Mwanahalisi akifafanua yalifungiwa Kisheria na Sheria hizo hizo zitafuata taratibu.
Matamko kama haya yanashangiliwa bila kuangalia undani wake. Wanahabari siyo kundi maalumu linaloonewa kila wakati. PM ansatahili kusema atakayewaonea wananchi, siyo waandishi wa habari tu. Siku nyingine watakuja wafugaji, nao watasemewa taarifa ya kutowaonea. Watakuja wavuvi, watakuja wakata mkaa, ........ Mbona Ulimboka aliumizwa Pinda akasema wapigwe tu!Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema yoyote atakaye waonea waandishi wa habari wakati wakitimiza majukumu yao watakiona, kwani serikali inawatambua na kuwathamini na isingependa kuona hata siku moja mwandishi anapata tatizo anapotimiza wajibu wake.
===
SERIKALI: HATUTAKUBALI KUONA MWANDISHI WA HABARI ANAONEWA
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali haitakubali kuona Mwandishi anapata uonevu popote kutokana na thamani ya mchango wanaotoa katika kuufahamisha Umma, Ameeleza hayo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Mkoani Morogoro.
Amesema, "Sio Sera ya Serikali kuonea Waandishi wa Habari. Serikali haitomvumilia mtu yeyote atakayemkwaza Mwandishi wa Habari akiwa katika kazi, na hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
Vilevile, amesema hatua kadhaa zinaendelea ili kuyafungulia Magazeti ya Mawio, Mseto, Tanzania Daima na Mwanahalisi akifafanua yalifungiwa Kisheria na Sheria hizo hizo zitafuata taratibu.
Nani aliuwawa? Mbona akili mbovu hivyo? Mwangosi aliuwawa na nani, utawala wa nani? Kibanda aliumizwa jicho na nani, utawala wa nani?The weak prime minister in the world.
Kipindi Jiwe anaua waandishi wa habari huyu mbona hakuwahi kukemea?
Wapigwe tu! ...Mh. PindaNaamini mnamshangaa Kassim kama ambavyo na mimi namshangaa.