Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali inatambua usawa wa kijinsia

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kanda ya Kusini, yaliyofanyika Machi 6, 2025 katika viwanja vya Maegesho, Nachingwea mkoani Lindi.

Akizungumza katika kongamano hilo, Majaliwa amesema kuwa Serikali inatambua umuhimu wa kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kama njia mojawapo ya kuimarisha ustawi na kufikia maendeleo jumuishi na endelevu.
Your browser is not able to display this video.
 
Upande mmoja unaongelea usawa wa kijinsia, upande mwingine unaongelea kuiwezesha jinsia fulani.

Unafiki uliopindukia. Hakuna kitu kinaitwa usawa wa kijinsia, ni utapeli mnaomezeshwa na waabudu shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…