Waziri Mkuu Majaliwa: TANESCO imezalisha umeme zaidi ya mahitaji

Waziri Mkuu Majaliwa: TANESCO imezalisha umeme zaidi ya mahitaji

Tuombe mvua zisikate tufaidi umeme, maana umeme wetu kwa kiasi kikubwa unategemea maji.
Vinginevyo huu ndiyo muda ambao serikali inatakiwa kuongeza mashine pale Kinyerezi ili ikiisha El Nino tujipange na La Nina kwa mitambo ya gesi.
 
Hajasema chochote kuhusu ni wananchi wangapi wanafaidika na umeme huo na bado wangapi wanasikia tu kuwa kuna nishati ya umeme lakini hawajawahi maishani mwao kuitumia nishati hiyo, na wala hawajui kama wataitumia katika maisha yao yaliyosalia hapa duniani.

Majigambo ya aina hii yatawasaidia kitu gani watu kama hao?
Ni lini waliwacha kusambaza umeme?
 
Wakarabati na miundo mbinu yake ...manake kuna maeneo bado umeme unakatika ovyo na kurudi
 
Nani wa kuwaamini hawa watu?
Haponulipo kuna umeme au hakuna?

Amini macho yako.


Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Mimi nawasifu TANESCO kipindi hiki cha mvua kali za nasika zilizochanganyika na elnino zimekutana lakini umeme unapatikana bila hitilafu kubwa, ni hatuwa kubwa sana ya maboresho na mabadiliko (reforms) kiutendaji waliyopiga.

naamini miundombinu aliyokuwa anashughulikia januari Makamba inazaa matunda yake kipindi hiki.
 
Ametoa pongezi hizo leo jioni, April 19, 2024 wakati akifungua maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika kwenye viwanja vya bunge Dodoma.

Ameitaka Wizara ya Nishati iwwke mkakati wa kuhahakisha maonesho hayo yanakuwa endelevu ili wabunge waweze kupata fursa ya kuwasilisha hoja zao mahususi na kutatua kero za wananchi wanaowawakilisha
Ndiyo akili za watanzania, wanampongeza mnyama aliyenaswa badala kumpongeza aliyetega mtego,
 
Ni jambo jema kwamba kuna uzalishaji wa kutosha. Hata hivyo Tanesco wajipange kuongeza uzalishaji. Ni hakika itafika wakati, kama uzalishaji hauongezeki, mahitaji ya umeme yatazidi uzalishaji.
 
Haa Ila Mkuu
Sasa Mimi Niseme Nini Wakati Sukari Haipatikani
HIi miezi miwili niliyokuwepo nchini nimetembelea familia zaidi ya 1000 wote wanakunywa chai sasa sijui wewe unaishi wapi kusiko patikana sukari!
 
Waziri Mkuu majaliwa ameipongeza TANESCO kwa kuzalisja umeme zaidi ya mahitaji yaliyopo sasa, "Leo tarehe 19 April 2024 uzalishaji wa umeme ni mkubwa, shirika letu la TANESCO limemudu kuzalisha umeme zaidi ya mahitaji tuliyonayo na bwawa la Nyerere limeanza kazi, tayari Megawati 235 ziko kwenye mfumo."

Ametoa pongezi hizo leo jioni, April 19, 2024 wakati akifungua maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika kwenye viwanja vya bunge Dodoma.

Ameitaka Wizara ya Nishati iwwke mkakati wa kuhahakisha maonesho hayo yanakuwa endelevu ili wabunge waweze kupata fursa ya kuwasilisha hoja zao mahususi na kutatua kero za wananchi wanaowawakilisha

Ameitaka wizara hiyo iweme mkakati wa kuhahakisja wananchi wote wanapata ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusu fursa zinazopatikana kutokana na miradi inayotekelezwa na sekta ya nishati

Wakati akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na wadau mbalimbali walioshiriki maonesho hayo, Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko ameipongeza TANESCO kwa kuendelea kufanya kazi nzuri ya kuhahakisha wananchi wanapata nishati ya umeme

Millard

View attachment 2968586
Rais Magufuli ni mzima anaendelea kuchapa kazi.
 
HIi miezi miwili niliyokuwepo nchini nimetembelea familia zaidi ya 1000 wote wanakunywa chai sasa sijui wewe unaishi wapi kusiko patikana sukari!
Haa Haa Mkuu Umetoa Majibu Vile Vile Wanavyotoaga Wenyewe
Kwahiyo Sukari, Mafuta Yapo Na Yanauzwa Hadharani
ila Kama Moto Upo Mbinguni Sijui..........Utaepukaje
 
Back
Top Bottom