Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌📌Amewahi kusema ukweli lini?
Hahaahahhaah MpwaWewe Una Akili Sana Sana
Alishawahi kutufunga kamba mara kadhaaaKaphone ni janjanjanja
Ni lini waliwacha kusambaza umeme?Hajasema chochote kuhusu ni wananchi wangapi wanafaidika na umeme huo na bado wangapi wanasikia tu kuwa kuna nishati ya umeme lakini hawajawahi maishani mwao kuitumia nishati hiyo, na wala hawajui kama wataitumia katika maisha yao yaliyosalia hapa duniani.
Majigambo ya aina hii yatawasaidia kitu gani watu kama hao?
Utakuwa kwenye mtaa ambao hauna hata anuani.Wapunguze bei sasa, ila huku mtaani kwetu wanakata wanarudisha kwa siku hata mara 10.
Haponulipo kuna umeme au hakuna?Nani wa kuwaamini hawa watu?
Hata ungesema wewe ningeamini!Kwahiyo Umeamini Hilo?
Ndiyo akili za watanzania, wanampongeza mnyama aliyenaswa badala kumpongeza aliyetega mtego,Ametoa pongezi hizo leo jioni, April 19, 2024 wakati akifungua maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika kwenye viwanja vya bunge Dodoma.
Ameitaka Wizara ya Nishati iwwke mkakati wa kuhahakisha maonesho hayo yanakuwa endelevu ili wabunge waweze kupata fursa ya kuwasilisha hoja zao mahususi na kutatua kero za wananchi wanaowawakilisha
Haa Ila MkuuHata ungesema wewe ningeamini!
HIi miezi miwili niliyokuwepo nchini nimetembelea familia zaidi ya 1000 wote wanakunywa chai sasa sijui wewe unaishi wapi kusiko patikana sukari!Haa Ila Mkuu
Sasa Mimi Niseme Nini Wakati Sukari Haipatikani
Rais Magufuli ni mzima anaendelea kuchapa kazi.Waziri Mkuu majaliwa ameipongeza TANESCO kwa kuzalisja umeme zaidi ya mahitaji yaliyopo sasa, "Leo tarehe 19 April 2024 uzalishaji wa umeme ni mkubwa, shirika letu la TANESCO limemudu kuzalisha umeme zaidi ya mahitaji tuliyonayo na bwawa la Nyerere limeanza kazi, tayari Megawati 235 ziko kwenye mfumo."
Ametoa pongezi hizo leo jioni, April 19, 2024 wakati akifungua maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika kwenye viwanja vya bunge Dodoma.
Ameitaka Wizara ya Nishati iwwke mkakati wa kuhahakisha maonesho hayo yanakuwa endelevu ili wabunge waweze kupata fursa ya kuwasilisha hoja zao mahususi na kutatua kero za wananchi wanaowawakilisha
Ameitaka wizara hiyo iweme mkakati wa kuhahakisja wananchi wote wanapata ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusu fursa zinazopatikana kutokana na miradi inayotekelezwa na sekta ya nishati
Wakati akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na wadau mbalimbali walioshiriki maonesho hayo, Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko ameipongeza TANESCO kwa kuendelea kufanya kazi nzuri ya kuhahakisha wananchi wanapata nishati ya umeme
Millard
View attachment 2968586
Haa Haa Mkuu Umetoa Majibu Vile Vile Wanavyotoaga WenyeweHIi miezi miwili niliyokuwepo nchini nimetembelea familia zaidi ya 1000 wote wanakunywa chai sasa sijui wewe unaishi wapi kusiko patikana sukari!