Shuka sasa tulikumbuke kumekucha, tuepuke mnada !Tunamkumbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shuka sasa tulikumbuke kumekucha, tuepuke mnada !Tunamkumbuka.
Ila nywele ni nywele tu.Huyu mzee sijawahi kumwelewa hata kidogo, hayupo serious, hakuna kiongozi aliye serious anawaza muda wote kupiga nywele kiwi mademu wamfuatae.
Hillo Ndiyo wazo zuri lakini lisiishie mdomoni lazima kuwe na mipango mikakati, (strategy formulation to reach smart goals)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia Sera za nje na kuimarisha mahusiano mazuri na mataifa mengine huku ikijikita zaidi katika kujitegemea kiuchumi.
Akizungumza Bungeni leo, Majaliwa alieleza kuwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan zimeifanya Tanzania kuwa na mahusiano mapana na mataifa mengi duniani, ikiwemo Marekani na nchi nyingine. Hata hivyo, amesisitiza kuwa licha ya mafanikio haya ya kidiplomasia, nchi inapaswa kujiimarisha kiuchumi ili kupunguza utegemezi.
"Ni muhimu kuzingatia Sera za nje. Rais Samia ameendelea kuifanya nchi hii kuwa na mahusiano na mataifa mengi duniani. Marekani ni moja kati ya nchi hizo. Muhimu kwetu, pamoja na upana huu wa mahusiano, ni kuhakikisha tunajiimarisha na kuwa na uwezo wa ndani wa kutekeleza mipango yetu. Bajeti zetu zinapaswa kumudu sekta zote muhimu kama afya, elimu, na maji, pamoja na maeneo mengine tuliyokubaliana na mataifa husika," alisema Majaliwa.
Aliongeza kuwa Tanzania ina uwezo wa kujitegemea kutokana na maliasili na rasilimali ilizonazo, na akatoa wito kwa Watanzania kushirikiana katika kuzitumia kwa maendeleo ya taifa.
"Kazi iliyopo sasa ni kuhakikisha tunashirikiana na kutumia rasilimali tulizonazo kujenga uchumi wa ndani," alihitimisha Waziri Mkuu.
Issue hapa ni mindset zetu za kijinga tu kuamini kila kitu ni Ulaya na Marekani, soko tunalo sababu SADC ina watu zaidi ya milioni 500 ambapo ni soko kubwa sn tungeamua tu alzeti, sukari, ngano, mazoo ya mifugo, mbaazi, kahawa na pamba kuuziana ndani ya SADC tungepiga pesa na kuondokana na utengemezi, pia lazima tuwekeze kwenye technolojia tuwe na viwanda vya magari yetu wenyewe na vito vya thamaniAsanti kwa maoni yako.🙏
unaonaje hili suala la kujitegemea kiuchumi? kumbuka SaDC in soko kubwa sana lina watu takriban 300milion + na per capita last time I checked approx $2000 unafikiri tutaweza kama nchi kuepuka utegemezi, na kuvushwa kwenda mu nchi tunayoitaka?
AsanteNashukuru, maoni yangu ni haya, 1. Tuache betting watu wafanye kazi 2. Matumizi makubwa na ya anasa serikalini yadhibitiwe hakuna cha misafara 3. Ajira zisiwe za upendeleo nafasi zote zitangazwe watu waombe washindanishwe tupate watu wazuri kuanzia Waziri mpka mfagiaji. 4. Pombe kali ziondolewe na hakuna kuingia bar kabla ya saa 12 jioni na mwisho saa 5 kamili usiku. 5. Wabunge wasilipwe sitting allowance na mishahara yao ishushwe isizidi 2M ili waingie watu wazuri na siyo hawa wasaka utajiri, viti maalum vifutwe bungeni. 6. Ajira zote ziwe za mikataba mwisho miaka 10. 7. Wezi na mafisadi wafiliwe na kufungwa na kusiwe na kinga kwa viongozi. 8. Elimu yetu iwe ni ya vitendo kwa 90% na siyo kukaa darasani. 9. Wataalam walipwe vizuri kuliko wanasiasa. 10. Viongozi wakutumia magari ya umma wawe ni Rais, Makamu, Spika, PM na Jaji Mkuu pekee na vyeo vya RC/DC/DAS vifutwe kabisa. Asante
Hizi ulizo orodhesha ndizo sera KUNTU , ila sasa . . . . mmh hiiiiii. .. . !Nashukuru, maoni yangu ni haya, 1. Tuache betting watu wafanye kazi 2. Matumizi makubwa na ya anasa serikalini yadhibitiwe hakuna cha misafara 3. Ajira zisiwe za upendeleo nafasi zote zitangazwe watu waombe washindanishwe tupate watu wazuri kuanzia Waziri mpka mfagiaji. 4. Pombe kali ziondolewe na hakuna kuingia bar kabla ya saa 12 jioni na mwisho saa 5 kamili usiku. 5. Wabunge wasilipwe sitting allowance na mishahara yao ishushwe isizidi 2M ili waingie watu wazuri na siyo hawa wasaka utajiri, viti maalum vifutwe bungeni. 6. Ajira zote ziwe za mikataba mwisho miaka 10. 7. Wezi na mafisadi wafiliwe na kufungwa na kusiwe na kinga kwa viongozi. 8. Elimu yetu iwe ni ya vitendo kwa 90% na siyo kukaa darasani. 9. Wataalam walipwe vizuri kuliko wanasiasa. 10. Viongozi wakutumia magari ya umma wawe ni Rais, Makamu, Spika, PM na Jaji Mkuu pekee na vyeo vya RC/DC/DAS vifutwe kabisa. Asante
Hizi ulizo orodhesha ndizo sera KUNTU , ila sasa . . . . mmh hiiiiii. .. . !Nashukuru, maoni yangu ni haya, 1. Tuache betting watu wafanye kazi 2. Matumizi makubwa na ya anasa serikalini yadhibitiwe hakuna cha misafara 3. Ajira zisiwe za upendeleo nafasi zote zitangazwe watu waombe washindanishwe tupate watu wazuri kuanzia Waziri mpka mfagiaji. 4. Pombe kali ziondolewe na hakuna kuingia bar kabla ya saa 12 jioni na mwisho saa 5 kamili usiku. 5. Wabunge wasilipwe sitting allowance na mishahara yao ishushwe isizidi 2M ili waingie watu wazuri na siyo hawa wasaka utajiri, viti maalum vifutwe bungeni. 6. Ajira zote ziwe za mikataba mwisho miaka 10. 7. Wezi na mafisadi wafiliwe na kufungwa na kusiwe na kinga kwa viongozi. 8. Elimu yetu iwe ni ya vitendo kwa 90% na siyo kukaa darasani. 9. Wataalam walipwe vizuri kuliko wanasiasa. 10. Viongozi wakutumia magari ya umma wawe ni Rais, Makamu, Spika, PM na Jaji Mkuu pekee na vyeo vya RC/DC/DAS vifutwe kabisa. Asante
Basi sawaZidhan kama ana mpango wa kuwa pm, na muda wake wa utumish umeshafikia kikomo. So hiyo sio sababu
Tatizo tunaongozwa na majangili tupuHizi ulizo orodhesha ndizo sera KUNTU , ila sasa . . . . mmh hiiiiii. .. . !
nimeona hii hapa jukwaani👉Shuka sasa tulikumbuke kumekucha, tuepuke mnada !
CHADEMA tupo serious mkulu.Tutajitegemea na kuimarisha uchumi kivipi kama viongozi wanatumia hela za kodi kama maji?!
Anasa, masherehe, masafari, misururu ya magari makubwa, maposho kebekebe, kulipa wasanii bila uchungu nk nk.
Hatuko serious kabisa!
Huyu ndiye aliyesema Magu yupo ofisini ana chapa kazi kumbe kafa😡Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia Sera za nje na kuimarisha mahusiano mazuri na mataifa mengine huku ikijikita zaidi katika kujitegemea kiuchumi.
Akizungumza Bungeni leo, Majaliwa alieleza kuwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan zimeifanya Tanzania kuwa na mahusiano mapana na mataifa mengi duniani, ikiwemo Marekani na nchi nyingine. Hata hivyo, amesisitiza kuwa licha ya mafanikio haya ya kidiplomasia, nchi inapaswa kujiimarisha kiuchumi ili kupunguza utegemezi.
"Ni muhimu kuzingatia Sera za nje. Rais Samia ameendelea kuifanya nchi hii kuwa na mahusiano na mataifa mengi duniani. Marekani ni moja kati ya nchi hizo. Muhimu kwetu, pamoja na upana huu wa mahusiano, ni kuhakikisha tunajiimarisha na kuwa na uwezo wa ndani wa kutekeleza mipango yetu. Bajeti zetu zinapaswa kumudu sekta zote muhimu kama afya, elimu, na maji, pamoja na maeneo mengine tuliyokubaliana na mataifa husika," alisema Majaliwa.
Aliongeza kuwa Tanzania ina uwezo wa kujitegemea kutokana na maliasili na rasilimali ilizonazo, na akatoa wito kwa Watanzania kushirikiana katika kuzitumia kwa maendeleo ya taifa.
"Kazi iliyopo sasa ni kuhakikisha tunashirikiana na kutumia rasilimali tulizonazo kujenga uchumi wa ndani," alihitimisha Waziri Mkuu.
Ushauri mzuriNashukuru, maoni yangu ni haya, 1. Tuache betting watu wafanye kazi 2. Matumizi makubwa na ya anasa serikalini yadhibitiwe hakuna cha misafara 3. Ajira zisiwe za upendeleo nafasi zote zitangazwe watu waombe washindanishwe tupate watu wazuri kuanzia Waziri mpka mfagiaji. 4. Pombe kali ziondolewe na hakuna kuingia bar kabla ya saa 12 jioni na mwisho saa 5 kamili usiku. 5. Wabunge wasilipwe sitting allowance na mishahara yao ishushwe isizidi 2M ili waingie watu wazuri na siyo hawa wasaka utajiri, viti maalum vifutwe bungeni. 6. Ajira zote ziwe za mikataba mwisho miaka 10. 7. Wezi na mafisadi wafiliwe na kufungwa na kusiwe na kinga kwa viongozi. 8. Elimu yetu iwe ni ya vitendo kwa 90% na siyo kukaa darasani. 9. Wataalam walipwe vizuri kuliko wanasiasa. 10. Viongozi wakutumia magari ya umma wawe ni Rais, Makamu, Spika, PM na Jaji Mkuu pekee na vyeo vya RC/DC/DAS vifutwe kabisa. Asante
Tutarudi kukata gogo machakani🤣Nani atatujengea matundu ya vyoo, stendi, masokoni na Mashuleni?
Msisitizo ni kwa serikali kuachana na matumizi ya anasaWaziri mkuu Mh Majaliwa amesema Sera ya Mambo ya nje ya Marekani Kwa Sasa ni kutotoa Msaada nchi za nje hivyo ni lazima Tanzania tujikite Kwenye kujitegemea
Mh Majaliwa amesema Msimamo wa Trump una athari kwa baadhi ya sekta Nchini hivyo msisitizo ni wananchi kuanza kujitegemea na si vinginevyo
PM Majaliwa ameongea haya bungeni Dodoma
Source Mwananchi
Kwako Lucas Mwashambwa