Waziri Mkuu Majaliwa: Tanzania lazima ijiimarishe Kiuchumi ili kuepuka utegemezi kutoka mataifa mengine duniani

Hillo Ndiyo wazo zuri lakini lisiishie mdomoni lazima kuwe na mipango mikakati, (strategy formulation to reach smart goals)
 
Anazungumzia Tanzania kujitegemea kiuchumi na wakati huo serikali yake inayotegema mikopo na misaada inafanya matumizi ya anasa kwenye mambo ambayo hayana umuhimu na pesa nyingi zinaishia kwenye kuhonga na kununua wapinzani, hiyo ni ndoto ambayo haiwezi kutimia chini ya ccm haina watu wanao itakia mema nchi zaidi ya matumbo yao
 
Issue hapa ni mindset zetu za kijinga tu kuamini kila kitu ni Ulaya na Marekani, soko tunalo sababu SADC ina watu zaidi ya milioni 500 ambapo ni soko kubwa sn tungeamua tu alzeti, sukari, ngano, mazoo ya mifugo, mbaazi, kahawa na pamba kuuziana ndani ya SADC tungepiga pesa na kuondokana na utengemezi, pia lazima tuwekeze kwenye technolojia tuwe na viwanda vya magari yetu wenyewe na vito vya thamani
 
Asante
 
Hizi ulizo orodhesha ndizo sera KUNTU , ila sasa . . . . mmh hiiiiii. .. . !
 
Hizi ulizo orodhesha ndizo sera KUNTU , ila sasa . . . . mmh hiiiiii. .. . !
 
Tutajitegemea na kuimarisha uchumi kivipi kama viongozi wanatumia hela za kodi kama maji?!
Anasa, masherehe, masafari, misururu ya magari makubwa, maposho kebekebe, kulipa wasanii bila uchungu nk nk.
Hatuko serious kabisa!
 
Shuka sasa tulikumbuke kumekucha, tuepuke mnada !
nimeona hii hapa jukwaani👉
Tutajitegemea na kuimarisha uchumi kivipi kama viongozi wanatumia hela za kodi kama maji?!
Anasa, masherehe, masafari, misururu ya magari makubwa, maposho kebekebe, kulipa wasanii bila uchungu nk nk.
Hatuko serious kabisa!
CHADEMA tupo serious mkulu.

nyie ccm kama hamko serious mtupishe.

hatahivyo mkulu usikate tamaa
 
Dr Samia S. Hassan alikuwa ni VP wakati wa JPM

Dr. Philipo I. Mpango alikuwa ni Waziri wa Fedha wakati wa JPM

Mwl. Majaliwa K. Majaliwa alikuwa ni PM wakati wa JPM

Dr JPM alikuwa Rais wakati huo ambapo sera na maono yake ilikuwa Nchi kuanza kujitegemea na kupunguza kuomba omba misaada na madeni

Kimewashinda nini Viongozi hao niliowataja kuenzi na kufata Sera za JPM, hadi kuanza kushtuka sasa baada ya USA Chini ya Trump kuminya misaada?

Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa 🙌
 
Huyu ndiye aliyesema Magu yupo ofisini ana chapa kazi kumbe kafa😡
 
Ushauri mzuri
 
Waziri mkuu Mh Majaliwa amesema Sera ya Mambo ya nje ya Marekani Kwa Sasa ni kutotoa Msaada nchi za nje hivyo ni lazima Tanzania tujikite Kwenye kujitegemea

Mh Majaliwa amesema Msimamo wa Trump una athari kwa baadhi ya sekta Nchini hivyo msisitizo ni wananchi kuanza kujitegemea na si vinginevyo

PM Majaliwa ameongea haya bungeni Dodoma

Source Mwananchi

Kwako Lucas Mwashambwa
 
Anachofanya Trump ni kwamba, huwezi kwenda kinyume na maslahi ya wamarekani halafu bado wakaendelea kukupa pesa.

Marekani wataendelea kusaidia nchi ambazo zipo upande wao kama Kenya, Rwanda ila zile nchi zenye viburi na ambazo zimeonesha kuwa Pro-Russia kama Tanzania wata deal nao papendicularly.

We hushangai South Africa kukatiwa misaada na Marekani? Trend tunakoelekea huko, USAID itafumuliwa ila utakuja mfumo mwengine wa misaada ambao misaada itakuwa channelled kwa nchi rafiki wa Marekani tu
 
Msisitizo ni kwa serikali kuachana na matumizi ya anasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…