Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'

Hapa Safi. Kauli ya Mwenyekiti wa chama ilikuwa na lengo la kuwablind Nyumbu na Wana wao ili wazidi kuwaamini hao waliotumwa huko, CHADEMA. Mliwaamini kweli, mkawashirikisha kwenye vikao vyenu vya Siri. Baada ya kukamilisha kazi waliyotumwa, wamerudi nyumbani kutoa ripoti.

Muda si mrefu kitatumwa kikosi kingine kikiongozwa na Jasusi Mbobezi#LIROLIMODO#sisiNDOwataalam buana.
 
I wish hawa viongozi wastaafu wangeiga kwa Cleopa Msuya. Kimya utafikiri hayupo, anakula pension yake taratiiiibu
Ndiyo kustaafu huko; hata anapoongea, huwa ama anachangia sera fulani tena kwa kuulizwa, na wala hajali kama mawazo yake yamesikilizwa au vipi; siyo kustaafu kwa kulialia kuwa umechafuliwa na wadaku, au kulalamlalama kuwa umesahahuliwa. Msuya na Mramba walijenga sana infrastructure kwenye mkoa wa Kilimanjaro siyo mchezo, laiti mawaziri wote wangefanya hivyo makwao, nchi yote leo hii ingekuwa mbali sana.
 
Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Sumaye akiwa mwanachama mwaminifu wa CHADEMA alitia nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa

Kabla ya kuchukua fomu ya kugombea akang'atwa sikio na mwenyekiti anayetetea Kiti chake kwamba " Sumu haionjwi"

Mzee Sumaye akabeba kila kilicho chake na kurejea CCM

Mzee Sumaye aliikosa Demokrasia kwenye Chama Cha Demokrasia na Maendeleo

J3 Ubarikiwe sana
 
Mwenyekiti hutakiwa kuwa mwoga
Sasa hapo kaumwa kidogo tu sikio
Wangemng'ata pua si ndio angekufilia mbali?
 
Ingekuwa ni wewe vipi ungebaki.

20221104_223621.jpg
 
Unaonja kidogo ili uone kama inafanya kazi, utapewa maziwa na kutapika. Na kazi inaendelea. Usiogope, wewe jua tu siasa ni mchezo mchafu.
 
Back
Top Bottom