mkongongojo
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 245
- 156
Katika kipindi cha maswali na majibu bungeni kwa waziri mkuu aliwaeleza wabunge ya kwamba wanafunzi watatumia tablet pc mbadala wa kubeba vitabu.
Wakati wanafunzi wanakaa chini hakuna madawati, vyumba vya kusomea ni vibovu, mahabara na maktaba hakuna na umeme pia katika shule zetu.
Je hilo litafanyika kweli na uhalisia tuliyonayo au ni porojo tu?
Wakati wanafunzi wanakaa chini hakuna madawati, vyumba vya kusomea ni vibovu, mahabara na maktaba hakuna na umeme pia katika shule zetu.
Je hilo litafanyika kweli na uhalisia tuliyonayo au ni porojo tu?