Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu atoa onyo kali kwa magaidi wa Hamas!!

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu atoa onyo kali kwa magaidi wa Hamas!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu jana wakati analihutubia bunge la KNESSET alitoa kalipio kali kwa magaidi wa Hamas na akasisitiza kuwa wasicheze na moto maana watapata kipigo ambacho hawajawahi kukishuhudia maishani mwao na ameahidi kusitisha Misaada yote kwa magaidi hao huko Gaza mpaka watakapowaachilia mateka wote waliowateka Oct 07,2023.

 
Magaidi ya alla ni tatizo kwa ulimwengu,Nyau yawahishe kwenye danguro lao.
 
Ritz
Njoooo hukuuuuuu. Mwanaume anataka kuongezaa list yakee kwa mabikira 72

Njoo uwaombee wenzioo kabla awajafika wanapotakiwa kufikaa
 
Hakuna chenye hajafanya kufikia sasa, sidhani kama hao Hamas wanatishika.
 
Pumbavu hana lolote kapigana vita miaka 2 kipi alichofanikiwa badala ya kuuwa watoto, kinamama na kuvunja majumba tu?
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu jana wakati analihutubia bunge la KNESSET alitoa kalipio kali kwa magaidi wa Hamas na akasisitiza kuwa wasicheze na moto maana watapata kipigo ambacho hawajawahi kukishuhudia maishani mwao na ameahidi kusitisha Misaada yote kwa magaidi hao huko Gaza mpaka watakapowaachilia mateka wote waliowateka Oct 07,2023.

View attachment 3258271
Wabongo bana magaidi ni akina nani ..watu wanapigania nchi yao wanaitwa magaid ma sisi tunaimba magaidi
 
Pumbavu hana lolote kapigana vita miaka 2 kipi alichofanikiwa badala ya kuuwa watoto, kinamama na kuvunja majumba tu?
Tumia akili yako vizuri!! Acha kujitoa ufahamu Oct 07,2023 magaidi wa Hamas waliteka watu 251 na sasa hivi wamebaki 59 tu kwa ujinga wako huoni hayo maendeleo? Hamas ilikuwa kila siku wanarusha makombola lakini sasa kimya wamenyooshwa na bado wanaendelea kunyooshwa!!! Walikuwa na viongozi wao waandamizi sasa hivi karibu wote hatuko nao wamekabidhiwa Mabikira 72 iliwawabikiri. Hayo yote wewe zważwa huyaoni!! Hamas ni magaidi na wanatumia wanawake na watoto kama kinga kwa kutumia ujanja huo wameweza kusababisha madhira kwa watu hao hivyo kosa ni la magaidi wala si Israel.
 
... na ameahidi kusitisha Misaada yote kwa magaidi hao huko Gaza mpaka watakapowaachilia mateka wote waliowateka Oct 07,2023.
Kumbe ni muungwana, yaani alikuwa anawapiga huku anawapelekea misaada!
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu jana wakati analihutubia bunge la KNESSET alitoa kalipio kali kwa magaidi wa Hamas na akasisitiza kuwa wasicheze na moto maana watapata kipigo ambacho hawajawahi kukishuhudia maishani mwao na ameahidi kusitisha Misaada yote kwa magaidi hao huko Gaza mpaka watakapowaachilia mateka wote waliowateka Oct 07,2023.

View attachment 3258271
kama ana jipya la kufanya ambalo sisi watu wa gaza hatujazoea basi afanye aache mdomo km mama kimbo...kifupi hana jipya
 
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu jana wakati analihutubia bunge la KNESSET alitoa kalipio kali kwa magaidi wa Hamas na akasisitiza kuwa wasicheze na moto maana watapata kipigo ambacho hawajawahi kukishuhudia maishani mwao na ameahidi kusitisha Misaada yote kwa magaidi hao huko Gaza mpaka watakapowaachilia mateka wote waliowateka Oct 07,2023.

View attachment 3258271
Aache ujinga wapo imara na bosi wake a.k.a Babu yake hapendi ujinga ijinga na mauaji holela akiminya tu,atajikuta Ze Huege chap kwa haraka.
 
Back
Top Bottom