BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Fumio Kishida imethibitisha kuwa Kiongozi huyo amepima na kukutwa na maambukizi ya COVID-19, ikiwa ni wiki moja kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika (TICAD) nchini Tunisia.
Licha ya kupata maambukizi, imeelezwa kuwa Kiongozi huyo atahudhuria Mkutano huo uliopangwa kufanyika Agosti 27-28 kwa njia ya Mtandao ambapo masuala ya Maendeleo kuhusu Afrika kwa kuzingatia Uchumi, Jamii, na Amani yatajadiliwa.
Japan pia inatarajiwa kuchangia katika kuimarisha Usalama wa Chakula barani Afrika ili kukabiliana na Uhaba ambao umechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita ya Ukraine na Urusi.
=========================
TOKYO —
Japanese Prime Minister Fumio Kishida has tested positive for Covid-19, his office said Sunday, a week before the leader was expected to attend an African development conference in Tunisia.
Kishida took a PCR test "after experiencing a mild temperature and a cough" from Saturday evening, an official from the Prime Minister's Office of Japan told AFP.
Reports in local media including public broadcaster NHK said he may now attend the August 27-28 Tokyo International Conference on African Development (TICAD) remotely.
Japan has logged record Covid-19 cases in recent days, although its total death toll from the disease is far lower than many other countries, at 36,780.
The 65-year-old Kishida, who took office in October, had his fourth vaccine shot earlier this month.
He has been on holiday with his family and was due to return to work on Monday.
Japan has never imposed a strict lockdown, and anti-infection measures mainly targeting bar and restaurant opening hours were lifted in March across the country.
The nation's borders have partially reopened although tourists are still banned unless they are on organized group trips.
VOA
Licha ya kupata maambukizi, imeelezwa kuwa Kiongozi huyo atahudhuria Mkutano huo uliopangwa kufanyika Agosti 27-28 kwa njia ya Mtandao ambapo masuala ya Maendeleo kuhusu Afrika kwa kuzingatia Uchumi, Jamii, na Amani yatajadiliwa.
Japan pia inatarajiwa kuchangia katika kuimarisha Usalama wa Chakula barani Afrika ili kukabiliana na Uhaba ambao umechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita ya Ukraine na Urusi.
=========================
TOKYO —
Japanese Prime Minister Fumio Kishida has tested positive for Covid-19, his office said Sunday, a week before the leader was expected to attend an African development conference in Tunisia.
Kishida took a PCR test "after experiencing a mild temperature and a cough" from Saturday evening, an official from the Prime Minister's Office of Japan told AFP.
Reports in local media including public broadcaster NHK said he may now attend the August 27-28 Tokyo International Conference on African Development (TICAD) remotely.
Japan has logged record Covid-19 cases in recent days, although its total death toll from the disease is far lower than many other countries, at 36,780.
The 65-year-old Kishida, who took office in October, had his fourth vaccine shot earlier this month.
He has been on holiday with his family and was due to return to work on Monday.
Japan has never imposed a strict lockdown, and anti-infection measures mainly targeting bar and restaurant opening hours were lifted in March across the country.
The nation's borders have partially reopened although tourists are still banned unless they are on organized group trips.
VOA