Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aamua Lockdown sasa basi


Kichwa cha habari na udadavuzi wako kulinganisha na hotuba ya waziri mkuu wa Uingereza ni tofauti kwa 100%.

Mada imepotoshwa totally out of context:

Mleta mada huonekani kuelewa content ya speech kabisa. Ulidhani hatutasoma? Au umezoea zile zetu za kutokea Chatto? Badala ya kusoma na kuelewa umekwenda kudandia treni kwa mbele?

"It is a fact that by adopting those measures we prevented this country from being engulfed by what could have been a catastrophe in which the reasonable worst case scenario was half a million fatalities."

Unaelewa hii R inayoongelewa kuwa ndiyo inayowafanya kurelax mambo kwa sababu hali ya ugonjwa imedhibitiwa sasa kama mafanikio ya lockdown?

Wapi analaani lockdown? Mbona pengi tu anapongeza mafanikio ya lockdown?

"And I must stress again that all of this is conditional, it all depends on a series of big Ifs. It depends on all of us – the entire country – to follow the advice, to observe social distancing, and to keep that R down."

Au mpaka hii speech muwekewe kisukuma?

"And yet when I look at where we are tonight, we have the R below one, between 0.5 and 0.9 – but potentially only just below one."

R yetu inaweza kuwa kwenye 20. R inabidi kuwa below 1 kwa lockdown kuwa relaxed anywhere kwa watu wasiokuwa wajinga.


Hii bagosha!!!!
 
Wanafungua nchi kwa sababu sasa wameshajua jinsi ya kudeal na wagonjwa,hospital zao wameziwezesha kuja kuweza kupokea wagonjwa. Na curve imeanza ku flatten.

Si mleta mada wala misukule wameweza kuliona hilo.

Wanadhani mwingereza kajifunza mambo ya nyungu tokea kwa bingwa wa Chatto.
 
Wote watamuiga Rais Magufuli

Nasikia ile ndege ilipotoka Antananarivo ilielekea Heathrow kupeleka utaalamu wa nyungu huko.

Nasikia Magu pia amealikwa UN kutoa demo la kujifukiza nyungu.

Whitehouse itafungwa siku hiyo wafanyakazi wote pale ni mandatory kuhudhuria hiyo demo.

Atakuwa anatisha sana!
 
Hao ni kama Mbuzi, mmoja akichomoka wote wanatimka mbio bila ya kujua yule mwenzao ni kwa nini katimua mbio, lakini baadae tena wanarudi kukaa pale pale walipotoka wakiwa wanatimua mbio!!

Hao ni misukule kazini. Bora wasingeiweka speech ile.

Hawajui wanachobeza au kushangilia ni kipi.

Ni kama manyani wanaoshangilia miti inapoungua.

Ni watu wa kuhurumia. Ndiyo washauri wazalendo wa magu.

No wonder tuko hapa tulipo leo labda na world record transmission rate. R kwao haina maana wala hawachukui muda japo wa kuelewa tu.

Ujinga mzigo mkuu.

Mazwazwa ni mazwazwa hata yasuguliwe kwa brush ya ng'ombe watabaki kuwa mazwazwa tu.
 

Wazee wa propaganda mna bahati sana kwamba kwa wa-TZ wengi kiingereza hakisomi wala hakisikiliziki vyema. Huwezi kuleta mada ya aina hii kisha ukatumia hotuba ya Boris Johnson kama back-up. It’s simply embarrassing. Kama vile mtu unawasiliana na taifa lililojaa vilaza kumbe ni uelewa wa lugha tu ndio changamoto!
 
Wanafungua nchi kwa sababu sasa wameshajua jinsi ya kudeal na wagonjwa,hospital zao wameziwezesha kuja kuweza kupokea wagonjwa. Na curve imeanza ku flatten.


Hivyo curve ni ya Uingereza, ndiyo kwanza inapaa.

Boris ameona uchumi unaporomoka.
Huyo Boris hata Magufuli hamjui kabisa.
Kwa jinsi kesi ya Acacia ilivyotikisa biashara ya madini, sidhani kama Boris hamfahamu.
 
Wale walifunga wanafungua, wewe hujafunga unatakaje kufanana nao!!??
Nakukubali kwa bandiko zako mara nyingi zina hoja za msingi. Lakini upinzani wako kuhusu maamuzi ya Rais Magufuli ya kupambana na maambukizi ya COVID-19, nahisi una agenda yako binafsi.

Wachache wenu wanaamini Rais Magufuli kakosea ati idadi ya maambukizi na vifo kutokana na COVID-19 ni kubwa. Swali la msingi nimekuwa nikiuliza, lakini kati ya hao hakuna anayelijibu. Swali ni Je, mitaani kuna idadi hiyo ya maambukizi/vifo? Jibu ni hakuna na maisha huko yanaendelea kama kawaida. Hiyo idadi kubwa ni ya wana mitandao ya kijamii.
 

Wanatia huruma. Siku za nyuma walijulikana kama Maimuna.

Wazee wa 'unconclusive' na 'undeterminate' ugoro mtupu hawana hoja.
 
Umeweka bandiko reefu lakini bila ya kusema linahusiana nini na huo Ununda, utoto na ushabiki maandazi.

Ulitaka kuonesha nini kwenye hilo bandiko maana ni refu sana!!
Ulisema kwamba uta unlock vipi ikiwa hajafanya test kwa maana Tz, Sasa nataka kukuonyesha hata hao UK mbona wana unlock wakati hawajafanya hiyo, au hizo test kama nilivyoweka hilo bandiko sasa sijui kwa sababu ya ununda unajifanya refu hulielewi nk
Haya hapa nakuwekea sehemu ya hilo bandiko na nitalibandika tena n.a. hiyo quotation yako labda ununda utakutoka




"The UK government's new target of testing 200,000 people a day for Covid-19 is a source of "real frustration", according to a leading scientist.
The president of the Institute of Biomedical Science (IBMS), said knowing where, how and how often people will be tested is more vital than goal setting."
 
Kaka tunaomba utupe ushahidi wa namba za nchi ya Uingereza ili kuipa nguvu hoja yako, je kwa uingereza namba zinasemaje, ugonjwa na vifo vinapungua au ndio kwanza idadi ya maambukizi na vifo vinaongezeka kila kukicha?, tupe takwimu Tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1446952
Hivyo curve ni ya Uingereza, ndiyo kwanza inapaa.

Boris ameona uchumi unaporomoka.
Kwa jinsi kesi ya Acacia ilivyotikisa biashara ya madini, sidhani kama hajawahu kumsikia.

Kwa R < 1 curve lazima I flatten kuanza kwenda chini:

"And yet when I look at where we are tonight, we have the R below one, between 0.5 and 0.9 – but potentially only just below one."


rudi kawambie ime boomer hiyo siyo ya UK.
 
Wale walifunga wanafungua, wewe hujafunga unatakaje kufanana nao!!??
Mbona wamefungua bila kutimiza azam yao kama sehemu ya hili bandiko linavyoonyesha

"



The UK government's new target of testing 200,000 people a day for Covid-19 is a source of "real frustration", according to a leading scientist.
The president of the Institute of Biomedical Science (IBMS), said knowing where, how and how often people will be tested is more vital than goal setting."
 
Umesoma ukaelewa lakini? Ama unahitaji tafsiri? Ingeandikwa kwa Kiswahili bila shaka usingeandika uliyoyaandika. The point you miss is that lockdowns are not forever. Zina mwisho wake. PM wa UK ametangaza hatua za kuondoa lockdown. Hajaondoa lockdown. Lakini mbona mnashanglia sana masharti ya lockdowns yanapotangazwa katika nchi mbalimbali? Inawapa raha gani? Hapo ndio sielewi.
Hauwezi kuwaona kwenye uzi kama HUU.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa R < 1 curve lazima I flatten kuanza kwenda chini:

"And yet when I look at where we are tonight, we have the R below one, between 0.5 and 0.9 – but potentially only just below one."

rudi kawambie ime boomer hiyo siyo ya UK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…