Huna hoja ww, cz huna chochote cha kuongea hapo, mm nmekupa 7bu kibao kwanini namshabikia Magu, ww hujatoa hata moja kwa nn unamchukia, hvyo nakupuuza rasmi ila ukirudi na vihoja vyako uchwara naruka na ww km kawa.
Piga nyungu. Msukule ni nyungu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja ww, cz huna chochote cha kuongea hapo, mm nmekupa 7bu kibao kwanini namshabikia Magu, ww hujatoa hata moja kwa nn unamchukia, hvyo nakupuuza rasmi ila ukirudi na vihoja vyako uchwara naruka na ww km kawa.
Endelea na akili zako za kushikiwa.Mwenye hoja wewe.
Piga nyungu mwanamme tuko vizuri!
Za kuambiwa changanya na zako nduguPiga nyungu. Msukule ni nyungu!
Za kuambiwa changanya na zako ndugu
Endelea na akili zako za kushikiwa.
Mpumbavu ww huna cha kuongea, unamchukiaje mtu kizembe bila kuwa na 7bu za mcngi, km babaako au ndugu yako au ww mwenyewe ulitumbuliwa ni kwa uzembe wako lkn pia kwa manufaa ya taifa.Ungemalizia kabisa:
.. za kushikiwa na jiwe!
Kwani tumeomba amjue?Hivi kwa akili zenu nchi zililock milele ?Kila Kiongozi akifungua nchi basi kamuiga Magufuli. Huyo Boris hata Magufuli hamjui kabisa.
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtaelewa tuuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuvaa barakoa kwa lazima ni kuchukua nini kama sio tahadhari ndugu?Hivi slogan ya "Chukuwa Tahadhari " ndio slogan ya Magu? Bora kunywa mkojo wa mbwa kuliko mkojo wa uzwazwa.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kamanda unateseka kweliHivi kwa akili zenu nchi zililock milele ?Kila Kiongozi akifungua nchi basi kamuiga Magufuli. Huyo Boris hata Magufuli hamjui kabisa.
Korona ipo, ninavyo jua ku loose kidogo marufuku , imetokana na watu kuweka muda mrefu nyumbani, walicho fanya kukuandaa kiakili ili uwelewe how’s seriously it is, so now kila mmoja atachukua tahadhari ya juu.Sawa kwa nini wakaruhusu watu kwenda kazini wakati maambukizi hayajapungua to that extent ya kuruhusu watu waanze kazi kama hapo mwanzo ?
Lengo la kufungua lockdown ni lipi kwao ?