Waziri Mkuu wa zamani Uingereza aendesha lori kwenda kutoa misaada kwa wakimbizi wa Ukraine

Waziri Mkuu wa zamani Uingereza aendesha lori kwenda kutoa misaada kwa wakimbizi wa Ukraine

Hata mimi nimeona hii nikawa najiuliza hili gari litaendaje?
Walioandaa propaganda wamefeli kuifanya ifanane na ukweli
Inawezekana iwe ni kweli anaenda ila hii picha ni zile za awali kabla ya safari. Kwenye ufunguo ni mbali, angalia hata mlango wa gari uko wazi. Mkuu au ulitaka zile ana overtake barabarani? napo tuanze kuuliza mpiga picha alikuwa kasimama wapi?.
 
Et souce :BBC hawa jamaa pumbafu sana
Wamemwingiza mwenzao vitan sasa wanatupia picha za michongo kujipatia umaarufu
 
Back
Top Bottom