Waziri mmoja nchini Kenya amefika kuzindua choo chenye thamani ya laki tano akiwa ndani V8

Waziri mmoja nchini Kenya amefika kuzindua choo chenye thamani ya laki tano akiwa ndani V8

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Huwa nashindwa kuelewa utamaduni wa Kenya kwa kweli
Mara nyingi hufanya mambo ya kitoto bila wao kujishtukia
Labda wamekulia katika mazingira magumu sana ndio maana
IMG_20190518_162856.JPG


Huwezi kuona hiki kituko hata kule kongo
 
Huwa nashindwa kuelewa utamaduni wa Kenya kwa kweli
Mara nyingi hufanya mambo ya kitoto bila wao kujishtukia
Labda wamekulia katika mazingira magumu sana ndio maanaView attachment 1101359

Huwezi kuona hiki kituko hata kule kongo

Two pictures taken at different times. Hakuna governor ama waziri alienda kuzindua.
Huwa nashindwa kuelewa ujinga wa watanzania.
 
Two pictures taken at different times. Hakuna governor ama waziri alienda kuzindua.
Huwa nashindwa kuelewa ujinga wa watanzania.
Hii kitu imepostiwa na wakenya wenzako, wajinga ni hao wakenya wenzako na huyo waziri na wewe pia ni jinga.
 
Tatizo umeleta uzi kimahaba mahaba hujakaa utulie uelewe taarifa ili uandike vizuri kitu cha kueleweka.
Umesema waziri ilhali picha iliyobandikwa na Mkenya inasema gavana, pili sio kwamba ikibandikwa na Mkenya basi ndio inapata uhalali, maana haijaja kupitia kituo maalum cha habari, mtu kabandika tu mapicha ambayo hayaonekani kuendana.

Kingine, fahamu kwetu mawaziri hawajihusishi na mambo madogo madogo ya ovyoo, sio kama kwenu nchi ya ajabu ajabu waziri mzima mwenye dhamana ya uwaziri nchi yote, anayeitwa Lugola bila aibu anamtetea Gwajima kuhusu mambo ya kipumbavu ambayo wenyewe tuliona video kabisa.
Kuna kipindi nilishangaa waziri Mwakyembe anaingilia bifu la wasanii, anaagiza Dudu Baya atiwe ndani kisa amemkosoa marehemu Ruge, upumbavu sana kwa waziri ambaye anategemewa kujishughulisha na mambo muhimu ya kuendeleza nchi anapoteza muda wake kukimbizana na wasanii huku akiwafunga jela.
Hayo tu ni matukio machache, kuna mengine mengi ya ovyoo nikiandika humu nitajaza server za watu bure.
 

Sikiliza mkenya mwenye akili anasema ukweli kuhusu Kenya

I have watched this clip and it seems Kenya has a fake economy. The President of Kenya will have to step to plate and curb looplohes which allow corruption and other shenanigans to flourish. Frankly, he will have to address these issues as fast as he could; otherwise, Kenya economy will swerve into a downward spiral.
 
Tatizo umeleta uzi kimahaba mahaba hujakaa utulie uelewe taarifa ili uandike vizuri kitu cha kueleweka.
Umesema waziri ilhali picha iliyobandikwa na Mkenya inasema gavana, pili sio kwamba ikibandikwa na Mkenya basi ndio inapata uhalali, maana haijaja kupitia kituo maalum cha habari, mtu kabandika tu mapicha ambayo hayaonekani kuendana.

Kingine, fahamu kwetu mawaziri hawajihusishi na mambo madogo madogo ya ovyoo, sio kama kwenu nchi ya ajabu ajabu waziri mzima mwenye dhamana ya uwaziri nchi yote, anayeitwa Lugola bila aibu anamtetea Gwajima kuhusu mambo ya kipumbavu ambayo wenyewe tuliona video kabisa.
Kuna kipindi nilishangaa waziri Mwakyembe anaingilia bifu la wasanii, anaagiza Dudu Baya atiwe ndani kisa amemkosoa marehemu Ruge, upumbavu sana kwa waziri ambaye anategemewa kujishughulisha na mambo muhimu ya kuendeleza nchi anapoteza muda wake kukimbizana na wasanii huku akiwafunga jela.
Hayo tu ni matukio machache, kuna mengine mengi ya ovyoo nikiandika humu nitajaza server za watu bure.
Kweli mwakyembe mjina lakini hawafikii mawaziri wenu kwa utahira.
 
Tatizo umeleta uzi kimahaba mahaba hujakaa utulie uelewe taarifa ili uandike vizuri kitu cha kueleweka.
Umesema waziri ilhali picha iliyobandikwa na Mkenya inasema gavana, pili sio kwamba ikibandikwa na Mkenya basi ndio inapata uhalali, maana haijaja kupitia kituo maalum cha habari, mtu kabandika tu mapicha ambayo hayaonekani kuendana.

Kingine, fahamu kwetu mawaziri hawajihusishi na mambo madogo madogo ya ovyoo, sio kama kwenu nchi ya ajabu ajabu waziri mzima mwenye dhamana ya uwaziri nchi yote, anayeitwa Lugola bila aibu anamtetea Gwajima kuhusu mambo ya kipumbavu ambayo wenyewe tuliona video kabisa.
Kuna kipindi nilishangaa waziri Mwakyembe anaingilia bifu la wasanii, anaagiza Dudu Baya atiwe ndani kisa amemkosoa marehemu Ruge, upumbavu sana kwa waziri ambaye anategemewa kujishughulisha na mambo muhimu ya kuendeleza nchi anapoteza muda wake kukimbizana na wasanii huku akiwafunga jela.
Hayo tu ni matukio machache, kuna mengine mengi ya ovyoo nikiandika humu nitajaza server za watu bure.
We kweli chizi, a typical Kenyan arrogance, tatizo lenu mnajifariji as if mnaishi katika standard ya juu ktk maisha bila kujitambua kuwa you guys are a pure example of a failed state, a true SI unit of a shit hole allotment. Kubali tu kuwa you are a shit and you know that you are! Usitafute justifications eti za kina sijui Gwajima , sijui Ruge wtf!?? Nenda kamshukuru Gaffer kwa kuzindua a matchbox loo.
 
Kama Wakenya ni Wajinga na Watanzania ni Wajinga na kama Watanzania ni Wajinga na Wakenya ni Wajinga tunafanana tabia desturi na Kila kitu ukiwa Masali ,Kericho Kisii ni Sawa na mtu aliye Ushirika Tukuyu au mbinga nk Hamna mwenye haki ya kuona mwingine mjinga zaidi
 
Tatizo umeleta uzi kimahaba mahaba hujakaa utulie uelewe taarifa ili uandike vizuri kitu cha kueleweka.
Umesema waziri ilhali picha iliyobandikwa na Mkenya inasema gavana, pili sio kwamba ikibandikwa na Mkenya basi ndio inapata uhalali, maana haijaja kupitia kituo maalum cha habari, mtu kabandika tu mapicha ambayo hayaonekani kuendana.
Kingine, fahamu kwetu mawaziri hawajihusishi na mambo madogo madogo ya ovyoo, sio kama kwenu nchi ya ajabu ajabu waziri mzima mwenye dhamana ya uwaziri nchi yote, anayeitwa Lugola bila aibu anamtetea Gwajima kuhusu mambo ya kipumbavu ambayo wenyewe tuliona video kabisa.
Kuna kipindi nilishangaa waziri Mwakyembe anaingilia bifu la wasanii, anaagiza Dudu Baya atiwe ndani kisa amemkosoa marehemu Ruge, upumbavu sana kwa waziri ambaye anategemewa kujishughulisha na mambo muhimu ya kuendeleza nchi anapoteza muda wake kukimbizana na wasanii huku akiwafunga jela.
Hayo tu ni matukio machache, kuna mengine mengi ya ovyoo nikiandika humu nitajaza server za watu bure.
Duh! Punguza hasira mkuu
 
Kwani v8 ndo inazindua choo, hebu mruhusu vichwa vyenu kufikiri
 
Back
Top Bottom