Waziri mpenda maisha ya ufahari Kenya aomba msamaha kwa mtindo wake wa maisha ya anasa

Waziri mpenda maisha ya ufahari Kenya aomba msamaha kwa mtindo wake wa maisha ya anasa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mmojawapo wa mawaziri wa Kenya aitwaye Kipchumba Murkomen ameomba msamaha kutokana na mtindo wake wa maisha ya ufahari aliokuwa akiishi ambao ulikuwa ukiwakwaza Wakenya wengi.

Baada tu ya kupata uwaziri huyu bwana alikuwa akivaa nguo, viatu na saa za anasa ambavyo ni designer brands kutoka nchi za Ulaya na Marekani pamoja na hayo alikuwa akienda Manchester United mara kwa mara kuangalia mechi za timu yake pendwa Man U inapocheza na timu kubwa.

Wakenya wengi walikuwa wakilalamika na kupiga sana kelele aina hiyo ya mtindo wake wa maisha wakihoji waziri ambaye haieleweki anafanya biashara gani nje ya uwaziri amepata wapi pesa nyingi hivyo za kuishi maisha ya anasa mbele ya maisha ya umma.

Hatimaye baada ya kutumbuliwa katika kibarua chake cha waziri wa miundombinu hivi karibuni kufuatia maandamano makubwa ya Gen Z ameibuka na kudai amefanya tafakari kubwa ya mtindo wake wa zamani wa maisha na anaomba msamaha kwa wote aliowakwaza!

20240724_184012.jpg
 
Mtu anatumia vyake mnanuna...! Kisa ni waziri? Uwaziri wake ni wakujitolea?
 
Mmojawapo wa mawaziri wa Kenya aitwaye Kipchumba Murkomen ameomba msamaha kutokana na mtindo wake wa maisha ya ufahari aliokuwa akiishi ambao ulikuwa ukiwakwaza Wakenya wengi.

Baada tu ya kupata uwaziri huyu bwana alikuwa akivaa nguo, viatu na saa za anasa ambavyo ni designer brands kutoka nchi za Ulaya na Marekani pamoja na hayo alikuwa akienda Manchester United mara kwa mara kuangalia mechi za timu yake pendwa Man U inapocheza na timu kubwa.

Wakenya wengi walikuwa wakilalamika na kupiga sana kelele aina hiyo ya mtindo wake wa maisha wakihoji waziri ambaye haieleweki anafanya biashara gani nje ya uwaziri amepata wapi pesa nyingi hivyo za kuishi maisha ya anasa mbele ya maisha ya umma.

Hatimaye baada ya kutumbuliwa katika kibarua chake cha waziri wa miundombinu hivi karibuni kufuatia maandamano makubwa ya Gen Z ameibuka na kudai amefanya tafakari kubwa ya mtindo wake wa zamani wa maisha na anaomba msamaha kwa wote aliowakwaza!

View attachment 3051063
 
Mtu anatumia vyake mnanuna...! Kisa ni waziri? Uwaziri wake ni wakujitolea?
Sio wa kujitolea ila sio wa kuishi maisha ya anasa kiasi hiko, mpaka mwenyewe amekiri.
Mnaboa sana kujifanya kujitoa ufahamu.
Kazi kuongea maneno rahisi rahisi tu kwenye hoja nzito.
Shame.
 
Ruto kamchagua tena. Mfumo huwa haukutemi kabisa mnafanya kuwa reshuffled tu. Kazi na bata.
 
Kama hayo maisha ya anasa ameanza kuyaishi baada ya kupata uwaziri hyo haikubaliki kabisa.
 
Mmojawapo wa mawaziri wa Kenya aitwaye Kipchumba Murkomen ameomba msamaha kutokana na mtindo wake wa maisha ya ufahari aliokuwa akiishi ambao ulikuwa ukiwakwaza Wakenya wengi.

Baada tu ya kupata uwaziri huyu bwana alikuwa akivaa nguo, viatu na saa za anasa ambavyo ni designer brands kutoka nchi za Ulaya na Marekani pamoja na hayo alikuwa akienda Manchester United mara kwa mara kuangalia mechi za timu yake pendwa Man U inapocheza na timu kubwa.

Wakenya wengi walikuwa wakilalamika na kupiga sana kelele aina hiyo ya mtindo wake wa maisha wakihoji waziri ambaye haieleweki anafanya biashara gani nje ya uwaziri amepata wapi pesa nyingi hivyo za kuishi maisha ya anasa mbele ya maisha ya umma.

Hatimaye baada ya kutumbuliwa katika kibarua chake cha waziri wa miundombinu hivi karibuni kufuatia maandamano makubwa ya Gen Z ameibuka na kudai amefanya tafakari kubwa ya mtindo wake wa zamani wa maisha na anaomba msamaha kwa wote aliowakwaza!

View attachment 3051063
Wamuuwe tu mtu na namna hiyo ana tofauti gani na hiki kiumbe SA100
 
Back
Top Bottom