Waziri mpya wa Mawasiliano, anza kazi na Azam Media. Wamepanga kutupiga kwenye vifurushi vipya

Upo sahihi kabisa japokuwa starehe ni gharama ila wanatoza gharama kubwa Sana
 
Azam wameleta VAR sasa wamepanga kutupandishia vifurushi vya ving'amuzi!

Hii si sawa bora wapate mpinzanj kwenye kuonesha ligi za nyumbani ili wasitunyanyase!
Biashara huru, kwani walikulazimisha kutumia huduma zao?

VAR inatumiwa na wasimamizi wa soka kiwanjani, siyo shirika la utangazaji. kama AZAM wameleta basi wanaoitumia wataikodisha.
 
Umeandika kiswahili lakini nimepata ugumu kuelewa
So Bei ya Azam ipo chini kulinganisha na zuku? Startimes? Au kulinganisha na dstv?
 
Hivi nchi za wenzetu,ivi vitu ni gharama namna hii?? Vp na internet bundle??sema levels za maisha kwa apa bongo ni tofauti ukiwaza ulipe kodi ya nyumba,ulipie bills za umeme+maji,na vifurushi vya king'amuzi navyo kulipia😂😂
Anaepata leseni ya kuonesha ligi ya ndani awe anapewa bei elekezi siyo kupandisha vifurushi kiholela kisa hatuna option
 


Amia zuku au star times
 
UMEPEWA WIZARA HII ILA KUNA DUDE HILI LINAWATAPELI WATANZANIA KILA KWENYE MASHINDANO MAKUBWA YA KIDUNIA

1.Mwaka juzi walituhadaa tulipie vifurushi vyote wataonesha kombe la dunia lilipigwa kule France , hawakufanya hivyo tukabaki kulalamika bila majibu hadi mashindano yale yakaisha , utapeli

2.Mwaka huu kwenye Euro wametupiga tena unajua kuna match unakuta kuna mawaidha ya masheikh,au ni mbunu ya kutulazimisha kusikiliza uislamu wao .


3.Sasa ni Olympic wanatangaza kila saa na channel hizi ni zile za kulipia , tunanunua vifurushi lakini hakuna kitu

OMBI ,Kama ulivyokuwa unapitia kwenye wezi wa viwanja hebu pitia kwa hawa jamaa , tumechoka na utapeli huu


USSR
 
Uko sahihi kabisa,hawa jamaa ni matapeli wanaoiba huku wanatabasamu......
 
TCRA Kimya, Wametota Chapa Chapa Kama Hawaoni
 
Kama utaki longolongo kwenye mashindano yoyote ya michezo ya kimataifa ni heri kutumia DSTV,hao Azam bado wachanga sana kwenye hizo mambo ndo maana maneno mengi halafu utekelezaji wa ovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…