Waziri Mwakyembe asiwe msemaji wa Taifa Stars , aendelee kusimamia sera za chama chake

Na ameanza kupenda soka baada ya kuwa waziri wa wizara husika, anajifunza kupenda soka
Hajawahi kusaidia timu yoyote Kyela wala hata timu ya kijiji chake cha Ikolo
 
Kwenu hakuna zuri hata tukijadili hadi asubuhi. Lau asingeisemea bado ungelalama. Kwenu furaha ni watanzania kugawanyika

Kwa taaria yako hao viongozi wa ccm kuleta kiherehere kwenye timu ya taifa ndio gundu linapoanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…