Infantry Soldier kuna mtu anasubiri ubuyu wako hukuMkuu ukimaliza kufunga huo ubuyu uniletee na mm hapa kariakoo
You can't be seriousHao hao Mawaziri na wao wanaona wako Bongo Bahati Mbaya.
Kama waziri anasema kaokotwa jalalani kutoka UDSM unafikiria nini?You can't be serious
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao hao Mawaziri na wao wanaona wako Bongo Bahati Mbaya.
Anaharibu akili za watoto wadogo waichukie nchi yao. Anawafanyia watoto brainwashingNdio democrasia hiyo dogo ame air maoni yake...
au ww ulijua democrasia ni chadema kuruhusiwa kufanya mikutano yao ya hadhara tu!!!?
Ninaipenda sana TanzaniaKwahyo wewe ni mzalendo?
Kwanini watu wanaichukia bongo?Kwahyo umefuraaaaaaahi