Waziri: Mwenye zawadi kwa Taifa Stars awasiliane na Wizara

Waziri: Mwenye zawadi kwa Taifa Stars awasiliane na Wizara

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
"Naomba Mdau yeyote mwenye zawadi kwa Taifa Stars awasiliane na Wizara ili tutambue zawadi ya mchango wa hamasa kwa Taifa Stars, hongereni sana Taifa Stars na Watanzania wote kwa hatua hii tuliyofikia kwenye mchujo wa kufuzu”——— Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa
 
Nini kimetokea hadi inabidi kugeana zawadi?
 
Hivi Taifa Stars ni ya Wizara ya Michezo au ni ya Balaza la michezo au ni ya TFF? Nafikiri mwenye timu ndo atambue zawadi, kama ni wizara basi haina shida.
 
Mnazokata kwenye tozo hazitoshi kununua zawadi,jamani mnataka mtukamue mpaka damu?
 
Back
Top Bottom