Waziri Mwigulu: Hatubani matumizi kwa kukopesha watu magari yanayowekewa mafuta na Serikali

Waziri Mwigulu: Hatubani matumizi kwa kukopesha watu magari yanayowekewa mafuta na Serikali

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tusipakane mafuta kwa mgongo wa chupa. Njia pekee ya kubana matumizi ya serikali ni kwa kufanya yafuatayo:

1. Kuyafanya magari yote ya serikali yatumie gesi asilia badala ya mafuta na kuyafungia vifaa vya kuyafuatilia mienendo yao. Madereva wa magari ya serikali baadhi yao huwa wanaiba mafuta ya magari haya kwa kuyauza mitaani au kwa kudanganya kuwa wamejaza mafuta kwenye gari husika kumbe hawakujaza, wanashirikiana na wauza mafuta kwenye sheli.

2. Kupunguza idadi ya wabunge wasiokuwa na majimbo. Wabunge wote wote wawe wale waliochaguliwa na wananchi tu baaasi.

3. Kusimamia manunuzi ya umma kikamilifu

4. Kupunguza safari na misururu mirefu ya watu kwenye safari za viongozi wanaohitaji kugharamiwa.

5. Baraza dogo la mawaziri

6. Kupunguza gharama za chaguzi ndogo kujaza nafasi za wanaohamia, wanaojiuzulu au kufa kwa kumtangaza mgombea aliyeshindwa aliyekuwa na kura nyingi nyuma ya aliyekuwa ameshinda. Hii inaenda sambamba na kupima afya za wagombea kabla hawajapigiwa kura ili kujiridhisha na afya zao kabla ya kuchaguliwa.
 
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi.

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tu.

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo, manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
 
Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..
Tatizo lipo hapo kwenye kupimiwa...unafahamu kuwa tangu enzi zileee za msoga, walikuwa wanapimiwa mafuta ila kwa bei ya tsh 2,500 kwa lita, mind you bei ya lita siku zile ilikuwa sijui kati ya 1,200 na 1,600

Sasa ukipewa lita 75 kwa wiki kwa bei ya sh 5,000 kwa lita, kuna kubana matumizi hapo?
 
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi..

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tuu..

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana Sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo,manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
Hii haipo!! Ni lazima wapewe milage. Huwezi kuisaidia serikali namna hiyo. Na kulipa milage maana yake maintenance ya gari ina fanywa na serikali.

Hapa watu wame tengenezewa ulaji. Sio kubana matumizi
 
Sisi wafanyakazi wa chini ndo muda wa kula bata, wanyampala wetu wakipewa hela ya mafuta wataila na kukuosa wese la safari za kushtukiza.
 
Hii haipo!! Ni lazima wapewe milage. Huwezi kuisaidia serikali namna hiyo. Na kulipa milage maana yake maintenance ya gari ina fanywa na serikali.
Hapa watu wame tengenezewa ulaji. Sio kubana matumizi
Kwa hiyo wabunge wanapewa mileage? Tanzania ni Nchi ya kwanza kufanya hivyo?
 
Tatizo lipo hapo kwenye kupimiwa...unafahamu kuwa tangu enzi zileee za msoga, walikuwa wanapimiwa mafuta ila kwa bei ya tsh 2,500 kwa lita, mind you bei ya lita siku zile ilikuwa sijui kati ya 1,200 na 1,600

Sasa ukipewa lita 75 kwa wiki kwa bei ya sh 5,000 kwa lita, kuna kubana matumizi hapo?
Wewe usiwe unakisia vitu ambavyo havipo,bei zinatolewa na ewura kwa nini wapewe Kwa bei kubwa?

Saizi huwa wanalipwa posho tofauti na kiwango cha kwenye muongozo?

Tuko awamu ya 6 ya Samia sio ya nne ya JK..
 
Saizi huwa wanalipwa posho tofauti na kiwango cha kwenye muongozo?
Ungekosoa kwa namba ungekuwa umenisaidia, sio kesi

Mbunge analipwa kiasi gani kwaajili ya mafuta ya gari kwa mwezi, lita ngapi?

Au labda nizame kwako, MUONGOZO unasemaje?
 
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi..

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tuu..

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana Sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo,manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
Kwa nini asilipwe transport allowance badala ya kupimiwa mafuta kama swala ni kusafiri kutoka nyumbani kwenda kazini, maana kama wanakopeshwa hayo magari wayatumie pia kwa kazi za ofisi, badala ya kupimiwa mafuta peke yake wanatakiwa kupimiwa na pesa ya service.
 
Wapewe magari, mafuta Lita 50 kwa wiki kwa coupon Kama hayupo eg yupo likizo means no coup kwa kipindi hicho
 
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi..

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tuu..

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana Sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo,manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
Kwa hiyo mwenzio kakosea nini hapo? Maana mapendekezo yake ya kubana matumizi ni bora na effective zaidi..

Wewe umejikita kwenye issue moja tu, MAGARI na affiliates zake i.e za maintanance, mafuta, ununuzi wa vipuri nk lakini mwenzako kaleta mapendekezo ya maeneo mengine ili kubana zaidi ambayo;
✓ Magari hayo hayo hata kama watakopeshwa, anasema basi magari hayo yafungwe mfumo wa kutumia gesi. Je, si kupunguza gharama hapo??

Akaendelea kutoa mapendekezo mengine kwa haya;

✓ Kupunguza baraza la mawaziri..
✓ Kupunguza idadi ya wabunge especially wasio na majimbo, wasiochaguliwa na watu..
✓ Kuondoa utaratibu wa chaguzi ndogo baada ya mtu kujiuzuru mwenyewe, kufukuzwa au kufa ambazo hutumia mabilioni ya fedha badala yake itafutwe njia nyingine isiyo ya gharama ya kufanya replacement.?
✓ Kuwa na effective supervision ya sheria ya public procurement..

## Sasa ndugu, kwa maelezo haya, hivi ni nani hajui maana ya "kubana matumizi"; wewe The Sunk Cost Fallacy au mleta hoja ndugu kavulata?

##Aidha, mwenzio katoa hoja zaidi ya 6 za kubana matumizi lakini wewe unang'ang'ana na moja tu halafu wewe kwa sababu hiyo, unam - combine mwenzio na "majizi" ambao ni nyie CCM na serikali yenu msiopenda kabisa kushauriwa namna bora na sahihi za kubana matumizi kwa njia hizo? Don't you think that you're so evil and wicked?
 
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi.

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tu.

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo, manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
matumizi mabaya ya magari ya serikali ndo yanayoongoza.magari mengi yanatumika kwenye mifugo,biashara binafsi,kubeba ndugu wa mabosi kutoka pointi moja hadi nyingine na hasa siku za wikiendi.wizi wa mafuta na matengenezo ni sehemu nyingine na hapa wahusika wakuu ni madereva na kwenye matengenezo ni TEMESA.
 
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi.

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tu.

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo, manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
H
Utakuwa huelewi hata logic ya kubana matumizi.

Waziri yuko clear mafuta mtapimiwa ukayauze au vinginevyo utajua wewe ila Kazi zetu lazima ziende..

Pili mambo ya maintenance itafanya mwenyewe,pia gari utalitunza tu.

Sasa hapo utasemaje hujabana matumizi ikiwa bil.500 zitaokolewa?

Ujue nyie majizi mnapambana sana Ili huu mpango usifanikiwe Ili muendelee kuiba pesa za serikali Kwa kuandika bili kubwa ya matengenezo, manunuzi ya vipuri na wizi wa mafuta na matumizi mabaya ya magari ya serikali kwenye shughuli zenu.
Kuna wakati watu wanashindwa kutofautisha kati ya kusoma na elimu. Matumizi ya gari sio mafuta tu bro, bali kuna wear and tear za matairi, engine, break, oil, vioo, breakdowns, nk. Ni mjinga nani atakaependa kupeleka gari lake alilokopeshwa kwenda vijijini mbali, njia mbovu, matope kwenda kuhudumia jamii kwa gari lake binafsi? Ni nani atagharamia ununuzi wa matairi, spea na service ya gari ili ofisa aende safari za umma? Hii ni njia nyingine ya watumishi kuacha kwenda kuwahudumia wananchi kwa visingizio vya gari mbovu, matairi yamekwisha, gari inahitaji kufanyiwa service, nk.

Yaani niweke matairi yangu mapya kwenye gari langu halafu nitembelee kwenda kilomita 600 kwa kazi za serikali. Tutapunguza efficiency kwenye kuhudumia watu kwa kisingizio cha gari bovu.
 
Mwigulu yuko sahihi, magari ya serikali yanabeba mpaka mihadarati, wapewe magari wapimiwe mafuta ila kazi zifanyike
 
Ungekosoa kwa namba ungekuwa umenisaidia, sio kesi

Mbunge analipwa kiasi gani kwaajili ya mafuta ya gari kwa mwezi, lita ngapi?

Au labda nizame kwako, MUONGOZO unasemaje?
Mkuu the sunk cost anaonekana yupo mbali na mambo ya logistics na accounting kwq namna inavyoonesha, japo yupo vizuri katika kueleza kila anachohisi yeye kinamfaa.
 
H

Kuna wakati watu wanashindwa kutofautisha kati ya kusoma na elimu. Matumizi ya gari sio mafuta tu bro, bali kuna wear and tear za matairi, engine, break, oil, vioo, breakdowns, nk. Ni mjinga nani atakaependa kupeleka gari lake alilokopeshwa kwenda vijijini mbali, njia mbovu, matope kwenda kuhudumia jamii kwa gari lake binafsi? Ni nani atagharamia ununuzi wa matairi, spea na service ya gari ili ofisa aende safari za umma? Hii ni njia nyingine ya watumishi kuacha kwenda kuwahudumia wananchi kwa visingizio vya gari mbovu, matairi yamekwisha, gari inahitaji kufanyiwa service, nk.

Yaani niweke matairi yangu mapya kwenye gari langu halafu nitembelee kwenda kilomita 600 kwa kazi za serikali. Tutapunguza efficiency kwenye kuhudumia watu kwa kisingizio cha gari bovu.
Watatakiwa wa charge mileage Mkuu...mimi alternatively naona watembelee vanguards,kluger,fords waachane na hiyo midude yaani moja 400M tayari una gari karibu 10 hapo.
 
Back
Top Bottom