Waziri Mwigulu Nchemba aeleza jinsi mgao wa umeme na barabara mbovu zilivyoipitisha serikali katika kipindi kigumu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema bajeti ya Serikali ilikumbwa na changamoto mwaka jana na mwaka huu, hasa kutokana na uharibifu wa barabara chini ya Tarura na Tanroads pamoja na mgao wa umeme.

Akizungumza bungeni Dodoma, Dk Mwigulu amesema Serikali ililazimika kuchagua kati ya kukodi mitambo ya dharura au kuharakisha kukamilisha Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere, ambapo zaidi ya Sh400 bilioni zililipwa kwa mwezi ili mradi huo ukamilike haraka.

Your browser is not able to display this video.
 

Twende kazi

Your browser is not able to display this video.
 
Wapigaji on air!!
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…