Waziri Mwigulu Nchemba: Kuna mapato ya Serikali yanaingia kwenye mifuko binafsi ya watu

Waziri Mwigulu Nchemba: Kuna mapato ya Serikali yanaingia kwenye mifuko binafsi ya watu

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Waziri wa Fedha amesema kuna matato ya Serikali yanaingia kwenye mifuko binafsi ya watu badala ya kwenda Serikalini.

Amesema kuwa hali hiyo hutokea kwenye ukadiriaji wa kodi au uuzaji wa bidhaa, amesema unakuta mtu anamwambia mteja nikupe bei ya Kupata na risiti au bei ya bila risiti?

Unakuta bei ya bila risiti ni ndogo kuliko ile ya risiti na hivyo kuwashawishi watu kutokulipa kodi. Anasema anayefanya hivyo anatenda kosa la uhujumu uchumi.

Amesema kwa watumishi wanaoshiriki kukosesha mapato serikali wanatenda kosa la uhujumu uchumi na kwamba hawatavumiliwa wala kuhamishwa kituo cha kazi bali wakibainika watafukuzwa kazi.

Ametoa wito kwa watu kutoa taarifa za watumishi hao wasio waaminifu na wala Watu wasipate hofu kuwa wakitoa taarifa watapata madhara kwa watu hao. Amesema watoe taarika kwa ofisi za TAKUKURU zilizo karibu.

Je, nini kifanyike ili kudhibiti watu wasiweke mifukoni mwao mapato ya Serikali? Toa maoni yako.
 
Moja hayo mapato ni Tozo za miamala kwenye mitandao ya simu, kwasababu hakuna utofauti wowote ukijaribu kulinganisha na ilivyokuwa zamani.
 
Magufuli aliwabana wakawa wanatoa angalau risit ila mama alipoingia akasema hataki kodi ya dhuruma.


Yani kwa aakili ya hangaya, kuwabana watu walipe ni dhuruma.
 
Magufuli aliwabana wakawa wanatoa angalau risit ila mama alipoingia akasema hataki kodi ya dhuruma.


Yani kwa aakili ya hangaya, kuwabana watu walipe ni dhuruma.
Yani Magufuli alikuwa anabana na analamba, kukwapua matrilion. Yani anabana ili aibe matrilion pekee yake. Yani yeye alikuwa hataki kuiba mabilion alikuwq anacheza na matrillion tu.

tameer njoo huku udislike hii comment
 
Anabana watu wa chini tu na wale wa kati!

Mbona haongelei kuhusu kiwabana wafanyabiashara wakubwa wanaokwepa kodi, na pia viongozi wenzake serikali kubana matumizi ya kifahari wanayoishi?
 
Back
Top Bottom