...Acha wakope bhana....hata hiyo Zanzibar ni sehemu ya Tz.Yaani huyu bibi hana maana! Trillion saba anakopa ukijuisha hapo na mikopo kibao ameshakopa anakimbilia trillion 15 halafu kwa vile CCCM mengi ni makondoo yanashangilia! Pesa zaidi ya trillion mbili hapo lazima ziende Zanzibar! Wadanganyika wanatoa macho!
Ndugai alikufa kizembe tu kwa kushindwa kuisimamia hoja yake.Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.
Haya ndio matatizo ya kukimbia kujibu hoja kwa hoja, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Na mlipaji ni mdanganyikaYaani huyu bibi hana maana! Trillion saba anakopa ukijuisha hapo na mikopo kibao ameshakopa anakimbilia trillion 15 halafu kwa vile CCCM mengi ni makondoo yanashangilia! Pesa zaidi ya trillion mbili hapo lazima ziende Zanzibar! Wadanganyika wanatoa macho!
Kukopa kwa siri kunatia shaka.Ukitoka huo mkopo ina maana ndani ya miezi 9 tutakua tumekopa 17trilion kama deni la nje. Hio trend unaona nzuri? Magufuli alikopa kwa akili na vitu alivyofanya vimeonekana.
Ndio wadanganyika wenyeweWatanzania bara.
That is true.Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.
Haya ndio matatizo ya kukimbia kujibu hoja kwa hoja, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Benki hazitoi misaada bali mikopo.Mwigulu anajaribu kuepusha lawama, hizo pesa naamini ni za mkopo lakini kwasababu anajua walishaambiwa kukopa sio sifa wakamsuta aliewaambia, matokeo yake anachanganya maneno "mkopo" na "msaada" kwenye sentensi moja.
Haya ndio matatizo ya kukimbia kujibu hoja kwa hoja, kama ile hoja ya Ndugai ingejibiwa vizuri watu waridhike, leo Mwigulu asingekuwa na hiki kigugumizi cha kuandika, lakini kwasababu waliamua kumsuta, sasa ndio wanaishi kwa hofu, mwisho wa ubaya....
Unamuongelea Magu wa nini wakati hayupo na hawezi kujitetea? tumuongelee huyu aliyepoNdungai ni mtu wa kupuuzwa, uzuri ameshapuuzwa tayari. Magu alikopa alivyojisikia na yeye ndiyo kwanza akaja na ile kauli yake ya atake asitake.......
Kama uko vizuri upstairs, ukiambiwa umepewa msaada na mkopo unaelewa nini?Mmeshampuuza ila sasa mnaanza kuwa na kigugumizi cha kuandika, mmeulizwa huo ni msaada au mkopo? jibuni.
Acha kujivua nguo mkuu, haya yote ni athari za Jiwe, japo ni ngumu sana kwa wewe kuelewa, jamaa ameleta maafa makubwa sana nchini. Ndiyo maana hata Mungu akaingilia kati kwani bila hivyo taifa kama taifa tungefika pabaya sana. Ukitaka kumjua vizuri Jiwe angalia watu wake wa karibu kama Bashite, Saambaya,Gamboshi, Ndungai, mzee wa jalalani na wengine wengi tu.Ukitoka huo mkopo ina maana ndani ya miezi 9 tutakua tumekopa 17trilion kama deni la nje. Hio trend unaona nzuri? Magufuli alikopa kwa akili na vitu alivyofanya vimeonekana.
Kama uko vizuri upstairs, ukiambiwa umepewa msaada na mkopo unaelewa nini?
Acha kujivua nguo mkuu, haya yote ni athari za Jiwe, japo ni ngumu sana kwa wewe kuelewa, jamaa ameleta maafa makubwa sana nchini. Ndiyo maana hata Mungu akaingilia kati kwani bila hivyo taifa kama taifa tungefika pabaya sana. Ukitaka kumjua vizuri Jiwe angalia watu wake wa karibu kama Bashite, Saambaya,Gamboshi, Ndungai, mzee wa jalalani na wengine wengi tu.
Mkuu ndiyo maana wanasema tenda mema ukiwa hai ili ukisepa watu wakuongelee mazuri. Hata Nyerere mpaka leo anaongelewa, ishu ni kuwa unaongelewa kwa mabaya au mazuri. Jiwe alikuwa muuaji na muongo sana ndiyo maana anaongelewa kwa mabaya.Unamuongelea Magu wa nini wakati hayupo na hawezi kujitetea? tumuongelee huyu aliyepo
Unaweza kujibu nilichokuuliza mkuu?Naelewa mnajikanyaga mnajua kukopa sio kuzuri ndio maana mnatanguliza neno msaada kutupumbaza…
Mkopo na msaada???? Sasa hapo tumepewa nn mkopo, msaada au au vyote kwa pamojaMapema leo nimefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Dkt. Sidi Ould Tah, Mkurugenzi Mkuu wa @badeabank kujadili namna ya kuharakisha upatikanaji wa fedha za mkopo nafuu na msaada Dola Bilioni 3 sawa na takribani Shilingi Trilioni 7.
Benki ya BADEA iliahidi kuipatia Tanzania mkopo huu wa masharti nafuu (soft loan) katika kipindi cha miaka mitano ijayo, zitakazotumika kwenye miradi ya maendeleo sambamba na kuiwezesha sekta binafsi.
View attachment 2077645
1:Watu wasiojulikanaAthari za jiwe ni zipi…maafa yapi makubwa ameleta mkuu..tuelimishe huwenda watanzania wenzako tupo gizani
Acha uzandiki.Akina majaliwa waliojaliwa vyeo😁😁😁
View attachment 2077670