Waziri Mwigulu: Tozo zinasaidia kuendesha miradi ya kimkakati

Waziri Mwigulu: Tozo zinasaidia kuendesha miradi ya kimkakati

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa mojawapo ya sababu zilizofanya wawakilishi wa nchi ( wabunge) waamue kukubali kupitishwa kwa tozo ni uwepo wa miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea nchini.

Ameyasema haya wakati akitolea ufafanuzi wa uwepo wa tozo nyingi zinazolalamikiwa na wananchi mtaani.

Ametolea mfano wa ujenzi wa Bwawa la Nyerere ambalo gharama yake inafikia kiasi cha trilioni 6, ujenzi wa reli ya kisasa, utoaji wa elimu bure pamoja na mikopo kwa wanafunzi.

Katikia kusisitiza hoja hii, waziri amesema kuwa hakuna nchi yoyote kwenye ukanda wa SADC inayoendesha miradi mikubwa yenye manufaa kwa wananchi kuzidi Tanzania.
 
Kwanini uendeshe miradi kupitia kunyonya wananchi
1662021835374.png
 
.......ngoja nimsikilize mpaka mwisho then ndio niongee
 
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa mojawapo ya sababu zilizofanya wawakilishi wa nchi ( wabunge) waamue kukubali kupitishwa kwa tozo ni uwepo wa miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea nchini.

Ameyasema haya wakati akitolea ufafanuzi wa uwepo wa tozo nyingi zinazolalamikiwa na wananchi mtaani.

Ametolea mfano wa ujenzi wa Bwawa la Nyerere ambalo gharama yake inafikia kiasi cha trilioni 6, ujenzi wa reli ya kisasa, utoaji wa elimu bure pamoja na mikopo kwa wanafunzi.

Katikia kusisitiza hoja hii, waziri amesema kuwa hakuna nchi yoyote kwenye ukanda wa SADC inayoendesha miradi mikubwa yenye manufaa kwa wananchi kuzidi Tanzania.
Yuko ndege mmoja akitotoa vifaranga anajitoa manyoya yake ili vifaranga vikiota manyoya yaote pamoja naye Kisha waruke pamoja kwa Amani na furaha.Je nyie viongozi mnafanya haya ili baadae tujefaidi ustawi wa Taifa?
 
Ni kweli Kuna miradi mingi ambayo haijakamilika na inahtaji fedha nyingi, Mm naona tukikopa tutakuwa na deni kubwa Sana Bora kwa ,% fulani tuchangie jasho letu kukamilisha hii miradi
 
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa mojawapo ya sababu zilizofanya wawakilishi wa nchi ( wabunge) waamue kukubali kupitishwa kwa tozo ni uwepo wa miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea nchini.

Ameyasema haya wakati akitolea ufafanuzi wa uwepo wa tozo nyingi zinazolalamikiwa na wananchi mtaani.

Ametolea mfano wa ujenzi wa Bwawa la Nyerere ambalo gharama yake inafikia kiasi cha trilioni 6, ujenzi wa reli ya kisasa, utoaji wa elimu bure pamoja na mikopo kwa wanafunzi.

Katikia kusisitiza hoja hii, waziri amesema kuwa hakuna nchi yoyote kwenye ukanda wa SADC inayoendesha miradi mikubwa yenye manufaa kwa wananchi kuzidi Tanzania.
Dikteta Magufuli alituambia fedha za kujenga hiyo miradi ipo na wakati huo tozo hazikuwepo, sasa fedha ile imeenda wapi?
 
Hahaha.........!

Safari moja huanzisha nyingine

Ukiona manyoya........

Mwamba: Tunatest mitambo
 
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa mojawapo ya sababu zilizofanya wawakilishi wa nchi ( wabunge) waamue kukubali kupitishwa kwa tozo ni uwepo wa miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea nchini.

Ameyasema haya wakati akitolea ufafanuzi wa uwepo wa tozo nyingi zinazolalamikiwa na wananchi mtaani.

Ametolea mfano wa ujenzi wa Bwawa la Nyerere ambalo gharama yake inafikia kiasi cha trilioni 6, ujenzi wa reli ya kisasa, utoaji wa elimu bure pamoja na mikopo kwa wanafunzi.

Katikia kusisitiza hoja hii, waziri amesema kuwa hakuna nchi yoyote kwenye ukanda wa SADC inayoendesha miradi mikubwa yenye manufaa kwa wananchi kuzidi Tanzania.

Ameweza kuikumbuka na miradi hii pia?

IMG_20220901_085859_867.jpg


Kwa kutuona je lakini?

Walamba asali wanapoufurahia "ujinga" wetu
 
.......ngoja nimsikilize mpaka mwisho then ndio niongee
Utakuwa disappointed tu mkuu, huyu mtu na katelephone ni dead brain- hakuna kitu cha maana unachoweza kupata kutoka kwao.
 
Kwahiyo siku hii miradi ikakamilika hizi tozo zitaondolewa?
 
1662023047728.png
1662023631349.png

PhD ya Uchumi V8! Tozo oyee!​
 
Back
Top Bottom