Pre GE2025 Waziri Mwigulu: Wanasiasa waliofilisika wanatafuta uhalali wa kisiasa kwa ubaguzi ni hatari na wa hovyo

Pre GE2025 Waziri Mwigulu: Wanasiasa waliofilisika wanatafuta uhalali wa kisiasa kwa ubaguzi ni hatari na wa hovyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Akisoma Bajeti ya Serikali Bungeni Waziri wa Fedha Dr.Mwigulu Nchemba ametoa onyo Kali Kwa Viongozi wa Kisiasa wanaopanda mbegu za chuki, ubaguzi na kuvunja utaifa wa Tanzania kuacha mara Moja vinginevyo watashighulikiwa.

Dr.Nvhemba amesema watu hao wanakiuka misingi ya Taifa hili na misingi ya usajili wa Vyama vyao Kwa kuhubiri na kueneza chuki za kugawa Nchi hii na kuleta ubaguzi kinyume kabisa na maadili ya Watanzania na waasisi wa Nchi hii.

Ametoa wito Kwa Watanzania kuwakataa kwani ni watu hatari na WA hovyo.Aidha amevitaka vyombo vya Dola kushughulika na watu wa aina hiyo kwani wamefilisika Kisiasa.

View: https://www.instagram.com/reel/C8KSCTNOUi-/?igsh=bDMyN2UwcmdpaWM3

My Take
Naunga mkono hoja hao watu Wana pa kukimbilia wakiliamsha ila sisi Watanzania tutakikbilia wapi? Wakatakiwe na vyombo vya Dola visicheke nao.

View: https://www.instagram.com/p/C8KPwGdKRjg/?igsh=MnZ4OTdyYWZrYmd6

=====

Pia soma: Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 Bungeni, Dodoma
 
Kwa TZ tulivyo tutamwona wa maana sana badala ya kujiuliza maswali muhimu. Kwa nn kuna katiba mbili . Kwa nini kuna wizara inashughulikia kero za muungano. Kwa nini tuna nyimbo mbili tofauti za taifa moja.Nje ya hapo ni uchawa tuuu.
Hayo ndio maswali muhimu? Ndio utaratibu wa makubaliano ya Muungano.

Unataka tugombane ndio tuwe wajanja? Ili kesho tuanze tena ukanda,ukabila na upuuzi mwingine?
 
Akisoma Bajeti ya Serikali Bungeni Waziri wa Fedha Dr.Mwigulu Nchemba ametoa onyo Kali Kwa Viongozi wa Kisiasa wanaopanda mbegu za chuki,ubaguzi na kuvunja utaifa wa Tanzania kuacha mara Moja vinginevyo watashighulikiwa.

Dr.Nvhemba amesema watu hao wanakiuka misingi ya Taifa hili na misingi ya usajili wa Vyama vyao Kwa kuhubiri na kueneza chuki za kugawa Nchi hii na kuleta ubaguzi kinyume kabisa na maadili ya Watanzania na waasisi wa Nchi hii.

Ametoa wito Kwa Watanzania kuwakataa kwani ni watu hatari na WA hovyo.Aidha amevitaka vyombo vya Dola kushughulika na watu wa aina hiyo kwani wamefilisika Kisiasa.

View: https://www.youtube.com/live/pJNalcfNHeo?si=tBzw0ufEmkaIiB8o

My Take
Naunga mkono hoja hao watu Wana pa kukimbilia wakiliamsha ila sisi Watanzania tutakikbilia wapi? Wakatakiwe na vyombo vya Dola visicheke nao.

View: https://www.instagram.com/p/C8KLQp7qJnE/?igsh=MW41bHJkdmpsMm85eg==

Pumbavu zake,Muungano unaooumiza Tanganyika hautufai.
 
Hayo ndio maswali muhimu? Ndio utaratibu wa makubaliano ya Muungano.

Unataka tugombane ndio tuwe wajanja? Ili kesho tuanze tena ukanda,ukabila na upuuzi mwingine?
Pumbavu.Kama tumeungana kweli tuwe na wimbo mmoja wa Taifa,Katiba moja ya nchi yetu,tuwe na Rais mmoja na Zanzibar ife ibaki mikoa kama Tanzania Bara ilivyo.
 
Back
Top Bottom