johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yuko bize na DTB FC, maswala ya uchumi mtajua wenyewe.
Kwani umeambiwa Takwimu zetu sio sahihi.Kupanda kwa gharama za maisha nchini UK na namna takwimu sahihi.
Walizonazo zinavyowasaidia kupambana na hali hiyo kumenifunza kitu kikubwa sana.
Tanzania tunapaswa kuwa na takwimu sahihi za uchumi wetu.
Hasa takwimu za kilimo, Dunia inanyemelewa na balaa la njaa.
Unatoa ombi kwa wapika data!Kupanda kwa gharama za maisha nchini UK na namna takwimu sahihi.
Walizonazo zinavyowasaidia kupambana na hali hiyo kumenifunza kitu kikubwa sana.
Tanzania tunapaswa kuwa na takwimu sahihi za uchumi wetu.
Hasa takwimu za kilimo, Dunia inanyemelewa na balaa la njaa.
Mwigulu anaua uchumi wa nchiUnatoa ombi kwa wapika data!
Huyu John, wamshughulikie tu, tena ni mwanaccm mwenzao,Kwani umeambiwa Takwimu zetu sio sahihi.
Unajua unaweza ukashughulikiwa kwa kutoa habari za mashaka kwa mujibu wa sheria ya Takwimu ya mwaka 2018?
Ashughulikiwe kwa lipi? Kwamba katoa mawazo yake hadharani?Kwani umeambiwa Takwimu zetu sio sahihi.
Unajua unaweza ukashughulikiwa kwa kutoa habari za mashaka kwa mujibu wa sheria ya Takwimu ya mwaka 2018?
Dunia inakwenda kasi sanaKwani umeambiwa Takwimu zetu sio sahihi.
Unajua unaweza ukashughulikiwa kwa kutoa habari za mashaka kwa mujibu wa sheria ya Takwimu ya mwaka 2018?
Hahaha.......!Huyu John, wamshughulikie tu, tena ni mwanaccm mwenzao,
Anaundaa akiwa kwenye mabasi yake ya EsterUchumi wa Mwigulu ni madesa tu.
Anataka kusema taarisa za nbs zina walakiniAshughulikiwe kwa lipi? Kwamba katoa mawazo yake hadharani?