Waziri Mwigulu ziangalie vizuri takwimu zetu za uchumi tusije kupata tabu mbele ya safari

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kupanda kwa gharama za maisha nchini UK na namna takwimu sahihi.

Walizonazo zinavyowasaidia kupambana na hali hiyo kumenifunza kitu kikubwa sana.

Tanzania tunapaswa kuwa na takwimu sahihi za uchumi wetu.

Hasa takwimu za kilimo, Dunia inanyemelewa na balaa la njaa.
 
Kwani umeambiwa Takwimu zetu sio sahihi.

Unajua unaweza ukashughulikiwa kwa kutoa habari za mashaka kwa mujibu wa sheria ya Takwimu ya mwaka 2018?
 
Unatoa ombi kwa wapika data!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ