Waziri mwingine wa Kikwete katika kashfa

Yaleyale aliyokuwa akiyasema kaka yangu Lusekelo, Waziri anafuatwa na maswali ya msingi lakini hatoi majibu na badala yake 'anamfundisha kazi' mwandishi kwa kumuelekeza akaandike kile anachotaka wananchi wajue na sio kile wanachotaka kujua! Kazi bado ni ngumu ndugu zangu.
 
Nafikiri Takukuru na spidi walionayo sasa hivi watamwita Chiligati kwa Mahojiano innfact na Magufuli kwa ile tenda ya Samaki, halafu magufuli ilikuosha uso anasema mtakula samaki bure.
Yeye huyo na Mabillioni, naona mwaka huu atajenga ma St Joseph Mengi? kwa Ukarimu wa Magufuli and Family.
Chilligati yeye naona sio nyangumi wala Papa , Yeye atakuwa Sangara.
 

kaka wewe wasema, Watanzania wengi wamelala usingizi wa Mende-----pono nafikiri
 
Its a shame indeed. Milioni 32 ambazo mimi na wewe tunazililia kuteketea. Mwenzio ni posho ya mwezi mmoja au miwili ukipiga hesabu ya haraka. So its peanuts why waste time. Halafu inawezekana kuna watu wana interests zao na wanataka kuchomekewa mtu atakayewafaa ili mambo yao yaende hapo lazima jamaa atakuwa amechukua hela nzuri ya kampeni mwakani. Tanzania bila rushwa haiwezekani.
 


Chiligati bwana,

Watu wana shida na kila sababu ya kuyajua yote haya. Hivi Kikwete ameacha kusoma raia mwema?
 

Fine. Aeleze sasa ni mapungufu gani aliyoyaona. Na si kusema "watanzania hawahitaji kufahamu yote hayo". Huyu Waziri ni mfano halisi wa Serikali na maafisa wake walivyo. They are just like that. In my opinion, they all deserve to die. Why not? Mimi ninafikiri ni wakati sasa wa kuchukua hatua. Kill all of them, one by one. They are wasting our time. Anybody in?
 
KWASASA HATA WAZIRI AKIJA AMELEWA KAZINI NI RUKSA NANI ATAMUULIZA NA WAO WAPO JUU YA SHERIA."time will" kama tunakutana na majibu ya kina Chiligati,Sofia Simba ,Waziri Masha ,na wengine wengi ni juu yetu Watanzania.namkumbuka Mwalimu Nyerere Aliwahi kusema Ukiwaongoza WATU UPONDAVYO WAKIKUCHOKA WATAONA BORA WAMPE MADARAKA KICHAA AMA CHIZI KULIKO WEWE.ole wenu CCM mlochoka kutawala wanaowadanganya wana uraia wa nchi zaidi ya moja lakini nyie tutabanana hapa hapa.
 
Ifike wakati ndugu zangu watanzania kama wazalendo wameshindwa kuongoza nchi yetu, tujibinafsishie!! Kila mtu achukue chake, ijulikane moja (seriously wadau)!! Natamani sana VIT**, tupunguzane wenyewe kwa wenyewe pengine tutashika adabu na kizazi kijacho kitafaidi matunda ya damu yetu!!

Roho inaniuma sana haya madudu yanapotokea!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…