The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Mimi kama Mtanzania nimeshidwa kuvumilia na mwendendo wa viongozi wa Serikali yangu yangu ya Tanzania kwa kutokuwa makini na kutoelewa nini maana ya uongozi, Maslahi ya mtu binafsi yamewekwa mbele kuliko Utanzania na kubebana bila kuwajibishana ndio suala lililopewa kipaumbele katika Serikali ya Mswahili. kwa mara nyingine tena Mbagala tumepoteza Watanzania watatu kwa uzembe wa watu wachache waliolewa madaraka na kuvaa viatu vya mkoloni..cha kusikitisha zaidi wanatoa vimilioni eti kuwafariji wafiwa, such a shame..mpaka sasa sielewi Waziri mwinyi amekaa kwenye hicho kiti cha uwazuri kwa ujasiri upi, na kauli zake 'kama ni uzembe ntajiuzuru' haya sasa wamekufa watatu tena tupe kauli nyingine..
kama muungwa na kiongozi adilifu TUNAOMBA JIUZURU kwani unatia hasira ila kama mtawala na mwenye moyo wa mimi ntakula wapi na familia yangu wacha wafe sikuzaliwa nao kaa kwenye madaraka.
POLENI SANA WAFIWA...
kama muungwa na kiongozi adilifu TUNAOMBA JIUZURU kwani unatia hasira ila kama mtawala na mwenye moyo wa mimi ntakula wapi na familia yangu wacha wafe sikuzaliwa nao kaa kwenye madaraka.
POLENI SANA WAFIWA...